Wadau tushirikiane kwenye hili Kueleza kero au usumbufu tunaoupata tukiwa kwenye vyombo hivi vya usafiri.
1:Abiria kuongea na simu huku ameweka loud speaker ili hali akijua kila mtu anasikia mazungumzo yake.
Hawa ndo walewale!Kwani unapoambiwa jihadhari kabla ya hatari maana yake nini?Nani anayejua kwenye akili ya huyo mamba alikuwa anafikiria nini?Au mlitaka ajeruhi au kuua watu halafu muunde tume ya uchunguzi mpige hela?Na ndio maana zimetengenezwa silaha za kujilinda!
Dah!Utumwa hautaisha kwa mfumo huu!Yaani mtu anajikaza kuandika lugha za watu mpaka anaandika vitu vya ajabu ajabu.Mimi naamini ukitumia lugha unayoijua zaidi inakufanya uwe huru zaidi na kufikiri kwa mapana zaidi.Najua anajifunza lugha ngeni lakini hapa si mahala pake.Yote kwa yote poleni ndugu...
Kama kumbukumbu zangu zitakuwa nzuri ilikuwa miaka ya 80 hivi kulikuwa na katuni kwenye magazeti ya mzalendo na uhuru ilikuwa inaitwa Chakubanga,leo nimeikumbuka sana hii kitu!
Ajali mbaya imetokea muda mfupi uliopita maeneo ya Mkenge wilaya ya Mkuranga kati ya gari ya magereza iliyobeba mfungwa ikitokea Kimanzichana kuja Mkuranga mjini,askari magereza watatu wamefariki dunia na mfungwa mmoja amefariki pia.Chanzo cha ajali ni dereva wa gari ya magereza kuhama eneo lake...
Gari alikuwa anaendesha mswahili na mchina alikimbizwa hospitali.Polisi walifika pale baada ya dkk km 10 au 15 hivi.Lkn inawezekana dereva anahusika maana wakati jamaa anachezea kichapo,yeye aliteremka na kukimbia pembeni mpk jamaa walipoondoka ndo akarudi kumsaidia bosi wake.
Wakati tukio linatokea,kuna polisi mmoja alikuwa ng'ambo ya barabara,wakati risasi zinapigwa alijificha chini karibu na mtaro.Hakuwa na silaha.Cha kushangaza tukio lile lilichukua takribani dkk 3 hivi na kituo cha polisi kipo kama mita mia moja hivi.Ilipigwa risasi ya kwny kioo baadae akapigwa...
Ukweli ni kwamba jamaa walikuwa kwenye pikipiki,mimi nilishuhudia kabisa tukio,na jamaa aliyepigwa risasi ni mchina,alipigwa risasi kama nne hivi kwenye paja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.