Recent content by Shaghube

  1. S

    Mpaka India Wahindi wanamkubali Rais Magufuli

    Sanaa ya lugha!!
  2. S

    Uingereza yasema ATCL kufanya safari zake nchini humo ni fursa ya kiuchumi

    Chonde chonde tusijesikia ndege yetu tukufu imekamatwa London!!!
  3. S

    Waandamanaji wavamia Ubalozi wa Afrika Kusini kudai kuachiwa kwa ndege ya Tanzania. Watatu wakamatwa wakidaiwa kuwa viongozi

    ina maana intelijensia ya polisi haikupata habari hizi mapema kama inavyopata za mikutano ya wapinzani?
  4. S

    Kesi ya Tundu Lissu sio ya kushangilia

    Nakumbuka kuna mbunge alishinda uchaguzi akiwa kitandani mgonjwa na akaendelea kuwa mbunge hadi mola alipomuita
  5. S

    Kumbe Serikali inalijua deni la lililosababisha ndege ikamatwe: Lipo hadi kwenye ripoti ya CAG

    Na usisahau DAIMA dawa ya DENI ni KULIPA sio kutafuta huruma na zaidi BUSARA ni kukopa ukijua utalipaje vinginevyo ni kujitia kwenye majanga
  6. S

    Kumbe Serikali inalijua deni la lililosababisha ndege ikamatwe: Lipo hadi kwenye ripoti ya CAG

    Bila kuwasahau wanaokopa kila kukicha bila kulipa kisha wakidaiwa wanawaita waliowakopesha mabeberu
  7. S

    Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

    jenga hoja acha kebehi hiyo ni dalili ya upeo mdogo wa kuchambua mambo hebu fafanua mtu anaposema kama ni kweli ina maanisha nini
  8. S

    Tetesi: Hizi tuhuma ni nzito sana, kama ni kweli, hii ‘chain’ itapeleka wengi gerezani kwani ni sawa na uhaini

    kumbe huna uhakika na usemacho ndio maana ukasema kama ni kweli
  9. S

    Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

    wapo waliosema kama wewe 2015 sasa hivi hatupo nao washatangulia na kumuacha waliyedhani atawatangulia kumbuka MUNGU hapangiwi
  10. S

    Sauti inayodaiwa ni ya Membe na Katibu Kata kijiji cha Rondo video clip yao yavuja

    Haya kasema kweli ni yeye mshikeni sasa
Back
Top Bottom