Recent content by shafrael

  1. shafrael

    Kupanda madaraja: Adui wa staff development katika awamu ya Serikali ya tano

    Mh. Rais, kwenye ualimu kuna program tunaita STAFF DEVELOPMENT. Kwamba kila mwaka kuwepo na utaratibu endelevu wa walimu kwenda kuendeleza taaluma zao ili kukuza ufanisi. Huko nyuma walimu walikuwa wanaenda masomoni na bado madaraja yao yanapanda kama kawaida, lakini serikali yako imekuja na...
  2. shafrael

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

    Siongei theory broo mm nafndisha physics & mathematics na nipo serikalini so naexperience ninachokisema.
  3. shafrael

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

    Kweli tunaanzia D3 lkn baada ya makato yote matatizo yanarudi pale pale mkuu.
  4. shafrael

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

    Serikali ingetofautisha madaraja ya walimu wa sayansi na walim wa sanaa. Walimu wa sayansi wapande madaraja baada ya miaka mitatu na wale wa sanaa baada ya miaka mitano kama ilivyo sasa kwa wote. Tatzo hao walioko huko juu asilimia kubwa ni artists, kwaio linapokuja suala la kutetea maslahi ya...
Back
Top Bottom