Recent content by shafii77

  1. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa kilimo mkoa wa Kilimanjaro

    Nina ndugu yangu ameajiriwa serikali ni afisa kilimo nadhan yupo vizur anaweza kukusaidia ni mtaalamu mzuri wa kilimo yupo Kilimanjaro
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Uyu Bado mtoto sidhani kama ata miaka 30 anayo ndo vile vitoto vimemalza chuo havina Kazi vinasota tu ila huo msoto unaoupitia utakufundisha vitu ving ambavyo hukufundishwa shule, ungekuwa tajiri usingeandiza hizo pumba zako, ukikua utajua kwanini babaako na ukoo wako wote wameshindwa kuwa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Au nyie ndo mmemalza degree hamuna Kazi mnasumbua tu oya utajiri hauji kizembe hvyo alafu utajiri ni kama maji yanavyofata mkondo kama kwenu hakuna tajiri don't expect to make it easily
  4. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Kila mtu anatamani kuwa tajiri lakini sio Kila mtu anaweza kuwa tajiri utajiri unahitaji vitu vitatu hardworking, discipline na sacrifice ukikosa kimoja hapo huwez kuwa tajiri, naamini huna ndugu au jamaa yeyote ambae ni tajiri kwenu ndomaana unaongea kwa hasira ila utajiri huo wa mchongo upo tu...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Pesa kuipata sio kirahisi kama unavyofikiria wewe Kuna watu wanafanya Kazi kwa bidii usku na mchana ila hawapati utajiri, ndio maana watu wanajitoa sadaka ili kupata pesa kwa lazima na kwa njia isio halali
  6. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna utajiri wa kishetani, Kama kuna utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina, Kwanini watu maskini wasiutumie kuondokana na umaskini wao?

    Mtoa post sidhani kama ana akili timamu kwanza naomba kujua je yeye ni masikini au ni tajiri atupe majibu, binafsi huwezi kusemea jinsi ya upatikanaji wa utajiri kama haujawahi kupata huo utajiri ndomaana unaambiwa utajiri una Siri nying tu hakuna tajiri ataekupa mbinu za kufanikiwa kirahisi...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuanzisha biashara ya dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba - Dar, natafuta soko na partnership wa kuuza hii bidhaa yangu

    Habari ndugu, kama kichwa Cha tangazo kilivyoandikwa nahitaji kuanzisha biashara ya kuuza dagaa waliokaangwa kutoka Bukoba -Dar hivyo nahitaji watu wa kushirikiana nao kupata soko, dagaa ni rejareja kwenye packet au kwa jumla pia wanapatikana kuanzia ndoo ya lita 10 mpk 20, hivyo kwa ambae yupo...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Njia ya zipi sahihi kutuma mzigo Marekani

    Ok kati ya FedEx na DHL wapi kuna unafuu wa nauli?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Njia ya zipi sahihi kutuma mzigo Marekani

    Hello ndugu, ninahitaji kutuma mzigo marekani ni kilo 5 TU za karafuu je ni kampuni gani ya ndege au yoyote ya usafirishaji naweza kuitumia kutuma mzigo wangu kwa haraka na unafuu? Wenye uzoefu naombeni msaada wenu na pia naomba kujua gharama exactly za kutuma huo mzigo.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mazao Oman

    Shukrani sana ndugu, Ila ishu ya kutumia meli ni ngumu mno kwa sababu inagharimu muda mwingi sana na Kuna risk ya mzgo kufika umeharikiba mfano hayo matunda hayapaswi kuzidi siku5 yawe yamefika
  11. S

    JamiiForums Tanzania Gharama za kusafirisha mzigo kwa ndege toka Dar es Salaam hadi Oman

    Huko wizarani changamoto tupu...Asante kwa ushauri
  12. S

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mazao Oman

    Kuna fulsa nimeiona Oman, ya kupeleka maharage soya na Matunda pashen, nafikilia kuanza kupeleka bidhaa tajwa hapo juu kila week, kwa kuanzia ntakua nasafirisha kilo 100 kila week. Kama unafanya kazi kwenye Kampuni za Ndege hasa zinazoruka direct toka Dar es salaam to Muscat, au unafanya...
Back
Top Bottom