Recent content by shafii77

  1. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tuoneeni huruma jamani rudisheni umeme kama kuna shida tuweken wazi watanzania mbn ni waelewa usku tunakosa usingizi joto kali mbu wanauma sio mchezo kwani umeme mnagawa bure,? Si tunaulipia dah hii nchi jamani haya bhana NA HIZO ELA MNAZOTAKA KUWEKA PICHA YA RAIS MAKE SURE KWA UPANDE WA NYUMA...
  2. S

    DOKEZO Wizara ya Afya, Je, kuna mlipuko wa ugonjwa wa macho?

    Nipo sinza, mke wangu karudi kutoka kazini nae macho mekundu kama mimi, guys this is somehow serious
  3. S

    DOKEZO Wizara ya Afya, Je, kuna mlipuko wa ugonjwa wa macho?

    Mm mwenyew tangu jana macho yanawasha na yote nimekundu yameanza kuvimba kama Kuna ka mlipuko hvi tupewe taarifa, nmetumia dawa Lakin bado sijapata nafuu yan machoz yanamwagika tu nanimekundu yanawasha
  4. S

    Nina mpango wakuanzisha biashara ya asali mbichi

    0786909280\0764064872 tuwasliane
  5. S

    Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

    ugaidi, uchochezi wa vita, ulawiti, na ubakaji mengne wataongezea
  6. S

    Biashara tofauti za kuniingizia 50,000/= kwa siku

    Kama upo serious mkuu fanya biashara ya mkaa mkuu hautojutia, kama upo karbu na handeni unaweza fanya proces za kuchoma mkaa angalau uanze na gunia 150 ambapo gharama za kuchoma sio chini ya laki5 na gharama za kusafirisha mpaka dar kila gunia ni 6k kibali cha tfs laki mbil kwa mwaka gharama...
  7. S

    Soko la Karume limeungua moto

    Sisiemu oyee,sisiemu namba wani, wacha tuisome namba, ifike hatua watanzania tuamke
  8. S

    Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

    First grade inatumika kwa matumiz ya nyumban kama chakula au alternatv sugar, second, inauzw kwny groceries kwa kuongezwa ingredients, third inatumika ktk pharmaceutical industries kutengneza dawa na vipodozi.
  9. S

    Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

    Yes, asali itapimwa kama itakuwa na grade inayofaa utapata ela cash, kuhusu bei lita 1 ni kuanzia dola 10- nakuendlea
  10. S

    Nahitaji mbia kwenye biashara ya kuuza asali Kenya

    Inawezekana,hata marekani ila kipengele mtaji ndugu
Back
Top Bottom