Yan hata mwaka haujaisha watu washaanza kutishiana uchaguzi unaokuja dah! Alafu unambie watu hawana uchu wa madaraka?ila dalili za mama kuwa nae Hadi 2035 naziona 🤣🤣🤣🤣🤣
Hapa ujue kama zilivyo tofauti hzo card hata watumiaji wanakuwa tofaut,kivp?
Kwa sababu mtu ambaye mizunguko yake ya pesa inakuwa midogo hawezi kusema credit card n nzuri kwa sababu Hana uhakika na miamala yake lakn mtu ambaye anauhakika wa pesa any time credit card hawezi kuwaza kutumia maana...
Shida sio kiongozi,Wala shida sio chama shida n katiba amabayo haifanyi watala kuwajibika kwa wananchi badala yake wanakuwa wanawakumbuka wakati wanataka kura, hvo hata kama akija Nan? Kama mifumo haitabadilika aaah! Mambo n yaleyale2, mwisho wa siku itakuw a kama stori ya mwenda zake
Hyo sanaa ina work out kama ukikwama unapakwenda kulilia shida yako ukasaidiwa kwa wakati lakn kama wengine na sisi ambao mjini upo wewe kama wewe hata huko ulikotoka ukipata shida hakuna msaada aaaaah sidhani ?
Hao wabobevu wa siasa hyo maoni waliyatoa kipindi gan au unawasemea maana hatuwasikii mkuu?na kuhusu kukosa ushawishi kwa umma sio kwel maana kama ili Chama Cha siasa kiendelee kuimalika kinanatikiwa kuuza sera zaka kwa wananchi lakin watala hawataki iwe hvo,ndo maana wakisikia2 kuna mkutano au...
Kwanza wao wanawekeza hizo pesa wanaingiza faida alafu mwanachama hakana kitu kinaongezeka kwenye mchanngo wake alafu kwenda kuchukua pesa mizunguko miingi utafikili hawaingiza faida kupitia michango yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.