Nashangazwa na kauli za viongozi wa Serikali ya CCM Tanzania Bara na Visiwani, wanasema tukichaguliwa kuongoza tena tutaleta maisha bora kwa watanzania na tutaijenga Tanzania mpya.
Swali langu ni;
Je, kwanini mmeshindwa nini kufana huko nyuma zaidi ya miaka 50?
Lakini kwani si bado mnaongoza...
Magufuli anajenga hoja.mmh sina hakika ukweli kama zile ni hoja lbda kwavile naichukia thithiem.mi lowassa hata akipunga mkono na kukaa kura yangu kapata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.