Recent content by shadow recruit

  1. shadow recruit

    Meli 13 zinahudumiwa muda huu bandari ya DSM Januari 28/2024

    Hizi hapa dondoo 15 muhimu za kuzingatia dhidi ya propaganda hasi kwa bandari ya DSM 1. Magati yote 12 pamoja na maeneo ya kuhudumia shehena za mafuta yanahudumia meli hadi kufikia muda huu wa leo tarehe 28 Januari 2024, tofauti na wapotoshaji wanaoposha kwa makusudi kuwa ni magati mawili (2)...
  2. shadow recruit

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    naangalia data za uhitaji wa soko agaist uwezo wetu nachanganyikiwa. natamani namimi niwe sehemu ya mnyororo wa thamani wa bandari aisee
  3. shadow recruit

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    ameeleweka kiwepesi sana kuliko ugumu unaotaka kujaribu kuuleta in short nilivyoelewa ni kama tunavyosubiriana tu dukani kwa mangi kuhudumiwa nyakati zenye wateja wengi, wala haimaanishi mangi ni dhaifu au mzembe bali ni wateja tumekutana katika eneo moja kwa wakati mmoja. wacha tuendelee kujifunza
  4. shadow recruit

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    unaweza kunituma inbox please hizi nondo nishee na wadau wengine nje ya humu?. zimeshiba sana aisee, kumbe zile meli pale ni neema kiasi hiki?.
  5. shadow recruit

    Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Mafanikio ya bandari yaleta matumaini

    Minafikiri ni hatua kubwa inapigwa ukilinganisha na huko tulipotoka na hii inatokana na Rais wetu kuwa firm kwenye suala la bandari na kuchukua hatua mbalimbali. Tukijipanga kwenye bandari tu hii nchi inafika lengo lake la kuwafikia uchumi wa kati na nnaposema bandari simaanishi ile ya Dar es...
  6. shadow recruit

    Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Mafanikio ya bandari yaleta matumaini

    Huwezi kuvunja credibility ya habari sababu wewe una personal grievance na gazeti. Kama waandishi wamekwenda na kumuhoji mkurugenzi na akawapa hizo data misioni tatizo hapo.
  7. shadow recruit

    Ajali MV Nyerere: Waziri Mkuu amsimamisha kazi Mtendaji Mkuu wa TEMESA kupisha uchunguzi. Aunda Tume ya uchunguzi

    RAIS John Magufuli amemwagiza Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Issack Kamwelwe kutangaza zabuni haraka kwa ajili ya kupatikana kivuko kipya cha Ukara. Hatua hiyo inakuja baada ya Kivuko cha MV Nyerere, kinachotoa huduma katika kisiwa hicho kilichoko katika Ziwa Victoria...
  8. shadow recruit

    Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

    lakini bandiko mbele yetu linaonyesha bwana MAGUFULI ndiye aongozaye, labda tujuze zaidi mkuu kuhusu hayo uyasemayo.
  9. shadow recruit

    Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

    Wenye watoto wa mjini wanasema, kwa mara ya kwanza chama kikubwa cha upinzani kinatumia phrase "Kama unaushahidi " nafikiri nitoo embarrassing.... TANGANYIKA HURU: Utafiti Wambeba Magufuli Urais 2015
  10. shadow recruit

    Utafiti wambeba Magufuli urais 2015

    teh teh teh!! Nikweli Lowassa raisi lakini MAGUFULI ndiye rais
  11. shadow recruit

    Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

    Standard Chartered ilikuwa na imani kuwa baada ya kununua deni la Mechmar ndani ya IPTL, ingekuwa rahisi kupata fedha zilizowekwa kwenye akaunti ya Escrow ambayo sasa inabishaniwa. Fedha za Escrow zilipolipwa kwa wahusika wa IPTL, Standard Chartered ikajikuta ikiwa njia panda, haijui madeni...
Back
Top Bottom