Hii biashara ni ya kawaida.
Ili uweke pesa Kwa broker unahitaji wakala kama wakala wa mpesa, online Kuna mawakala wanaokutumia mtandaooni hivyo Kila wakala ana Bei gake
Mpesa masters card ipo vizuri kwenye kufanya malipo alibaba, mi huwa naitumia kufanya malipo ni kitu cha dakika tano unakuwa umemaliza kazi.
Jaribu kuwasiliana na voda kujua kama line yako haina shida yoyote. ila mpesa master card inafanya malipo kwa haraka sana.
hata mimi nimenunua mzigo aliexpress tangu mwezi wa pili mzigo haujafika. na nimara yangu ya kwanza, naomba kuuliza hivi mizigo ikifika naichukulia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.