Kabisa hata mm hiiii hali inanisumbua sana nimeangaliwa nimeambiwa nina kimeo nakweri kinaonekana kwakweri nimepima kira ugonjwa sina kifua sina lakini nakuua napataka maumivu kifuani nikaambiwa kimeo kinasababidha nikikikata kitaacha kuuuma kwa mana kimeo kimekua kirefuu kinaonekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.