Mnec wa arusha mjini ameisaidia sana ccm ameitumia nafasi yake kwa umakini kwa ushindi ccm uliopata umechangia kwa kiasi kikubwa sana ukizingatia na ukata wa pesa waliokuwa nayo unaitaji pongezi.
pole sana mi nilikuwa chadema kwa staili niliona hapo kwenye mlipuko hakuna kiongozi anaefaa wachadema ambae ni mzalendo hata kidogo mbowe na wezake ni wahaini
mbowe kuna mahafa hata kusaidia kuwabeba majeruhi alishindwa na lema pia mbowe amekia akitengenezea miwani vizuri na lema akishika box la pesa kwa umakini uzalendo upo wapi hapo jamani wamebaki wakisema ushahidi tunao amna ushahidi hapo ni uhuni tupu
Mimi ni chadema lakini kwa stail hii apana wamefika mbali siitaji tena kuwa na chama hicho chama cha wasijali utaifa chama cha wahuni chama cha majuaha wasiokuwa na hata chembe ya huruma mioni mwao
MWIGULU UMEWAFUA NGUO KINA MBOWE NA WENZAKE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.