kna ndg yng m1 ypo wilaya ya buhigwe-kgm anatafuta m2 wa kubadlishana nae aliopo wilaya ya kasulu,kgoma dc au urambo mwye no. za cm 0762420477/0655430477
Wadau,
Kkuna jamaa yangu ni mwalimu tayari anataka kujiendeleza lakini anataka asome masomo ya Hisabati na Jografia chuo kikuu bila ya kuwa na nyongeza ya somo lolote.
Vipi, atumie mbinu gani ili afanikiwe? Na ni mwalimu wa primary hivyo hataki kufanya mtihani wa 4m six anataka asome...
[I]Wadau kuna jamaa yangu ni mwalimu tayari lkn anataka kujiendeleza lkn anataka asome masomo ya hisabati na jografia chuo kikuu bila ya kuwa na nyongeza ya somo lolote ,vp atumie mbnu gn ili afanikiwe? na ni mwlm wa primary hvo htaki kufanya mtihan wa 4m six anataka asome foundation ya mwka1 ya...
ndo mana c watu km hawa hukatwa vchwa vyao halafu mwsho wa cku mnasema eti nmagaid...nadhan mnakumbka issue ya charlie hebdo huko france, wacha wafanye watakavyo c uhuru wa kujieleza!!!!
mi cdhani kma kna tatizo kwani sheria hio imetungwa ila mchakato haujamalizka kwn unatarajiwa kujadiliwa ili kufanya editing panapohitajka........c unajua ya mwanadamu hayakos kasoro najua kubananga hakutakosekana wadau hvo vumilieni,ndo hali hlisi ya nchi kama hzi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.