Siku moja baada ya matokeo ya uchaguzi wa vijiji 8 Iramba ambapo CCM imeshinda vijiji vyote 8 na vitongoji vyote 30 iramba. Hali hiyo imemshtua dr kitila nakusema hajawahi kutamka kuwa atagombea na hana nia hiyo. " Mimi nilikuwa na amsha watu tu siji kugombea nina kazi yangu nzuri" waacheni...
Duh ila CCM wakimsimamisha MWIGULU NCHEMBA vichaa dema vitalia machozi kama mtoto mdogo. Rais anakwenda kuapa MIMI, MWIGULU NCHEMBA, NAAPA KUWA ...... NA MAJUKUMU YA RAIS WA JAMHURI YA MUNGANO....... MUNGU NISAIDIE. HAAAAAAAAAA. CHADEMA HAPO WANATAFUTA UCHOCHORO KAMA PANYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.