Recent content by sha classic

  1. sha classic

    TUNAKOPESHA MITAMBO YA SOLAR

    Taa 16 mtambo wetu unatumia
  2. sha classic

    TUNAKOPESHA MITAMBO YA SOLAR

    NAOMBA TUPIGIE SIMU 0654609122
  3. sha classic

    TUNAKOPESHA MITAMBO YA SOLAR

    Tunakopesha mitambo ya Zola kwa ajili ya matumizi ya nyumbani mtambo mdogo wa taa kuanzia shilingi elfu 49 kianzio na kwa mwezi elfu 19 tupigie simu sasa popote ulipo unaletewa 06546-09122
  4. sha classic

    MADKATARI NISAIDIENI

    Mke wangu toka nifanye nae mapenzi hii ni wiki ya pili na nilifanya nae siku ya hatari ila leo kaingia kwenye hedhi maumIVU yalianza baada ya hapo damu nzito misili ya nyama nyama zikawa zinatoka je hiyo ni dalili ya nini naombeni mnisaidie
  5. sha classic

    Msaada: Hedhi kutoka kama nyama nyama

    Mke wangu toka nifanye nae mapenzi hii ni wiki ya pili na nilifanya nae siku ya hatari ila leo kaingia kwenye hedhi maumivu yalianza baada ya hapo damu nzito misili ya nyama nyama zikawa zinatoka, je hiyo ni dalili ya nini? Naombeni mnisaidie
  6. sha classic

    Nisaidieni madaktari

    Tumbo linamuuma sana tofauti na blead zote alizowahi kupitia
  7. sha classic

    Nisaidieni madaktari

    Mke wangu toka nifanye nae mapenzi hii ni wiki ya pili na nilifanya nae siku ya hatari ila leo kaingia kwenye hedhi maumIVU yalianza baada ya hapo damu nzito misili ya nyama nyama zikawa zinatoka je hiyo ni dalili ya nini naombeni mnisaidie
  8. sha classic

    Je una assets ama liabilities?

    JE UNA ASSETS AMA LIABILITIES? [emoji888] Asset ni kitu chochote kinacho kuingizia pesa mfukoni uwepo au usiwepo. [emoji888] Liability ni kitu kinachotoa pesa mfukoni kwako. [emoji1542]Ukitaka kuwa tajiri,hiki ndio assets na liabilities ndio kitu pekee unacho hitaji kukijua na kukifanyia...
  9. sha classic

    Uliomba picha ya utupu ukatumiwa, kwanini uisambaze?

    hahah hili jibu linamfaa hawa ndio wahusika zaidi imemchoma
  10. sha classic

    Uliomba picha ya utupu ukatumiwa, kwanini uisambaze?

    INATIA HURUMA[emoji24] Umemuomba akutumie picha ya utupu. Akakuambia siwezi nauheshimu mwili wangu siwezi kufanya hicho kitu. Ukambembeleza na kumsihi kwa maneno matamu yenye ulaghai. Bado akakuambia kwamba anajipenda na kukupenda pia hawezi kufanya kitu kama hicho,akakuambia kama unashida ya...
  11. sha classic

    Wanaume: Tufanye kazi kwa bidii ili uzee wetu tuwe na uwezo wa kujitegemea

    nachomaanisha jutahidi uwe na akiba yako uzeeni usitegemee mtu
  12. sha classic

    Wanaume: Tufanye kazi kwa bidii ili uzee wetu tuwe na uwezo wa kujitegemea

    Wanaume wenzangu, tufanye kazi kwa bidii tutafute hela ili uzee wetu tuwe na uwezo wa kujitegemea. Hakikisha kwenye uzee wako una pesa zako mwenyewe za kukufanya usurvive. Sahau kuhusu watoto, na mama yao kwamba watakutunza. Wewe ndiye stranger pekee kwenye hiyo familia unayoiita ya kwako. Hiyo...
  13. sha classic

    Namna ya kuwa mwanaume usiyekera wanaume wenzako

    1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako ni ushamba fulani hivi, dizaini kama hujiamini so lazima ujivishe nyota. Unaboa. 2. Tembea na keshi...
  14. sha classic

    Hizi hapa aina mbalimbali za ndoa

    Aina za ndoa… 1. NDOA YA MKEKA Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu. Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika mwaka mmoja tu baada ya wanandoa kugundua hawakuwa wakipendana! 2. NDOA YA MIHEMKO Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati mume18 mke 16. Huvunjika baada ya miaka 3 au 4 ya...
Back
Top Bottom