Pole sana mimi yolikwisha nikuta ulikuwa mchepuko wangu nahudumia kila kitu Kodi chakula nk, nikirudi kwakumshitukiza nikishika cm yake anachanyikiwa kabisa ndipo machale yalipo anza ikabidi nifuatilie nikakutana na mambo mazito nilicho fanya nikatoka nikamwachi funguo sikurudi tena sikuchukua...
Kabila tuu ndio huwezi kulihama Sasa kuhama kwa nyalandu tatizo nini mbona mnawashwa washwa mwacheni aende atakako mimi siioni tatizo hayo nimaamuzi yake kila mtu ana mawazo yake wewe anglia yako mimi niangalie yangu na yeye anaangalia yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.