Recent content by sexlady

  1. S

    Nimfanyeje huyu

    jaribu kufuatilia ushauri uliopewa hapo juu na pia mweleze kuwa umri si kikwazo katika maisha ya sasa na mwambie abadilike ukiona hakuelewi ujue huyo hajakupenda kwa dhati.
  2. S

    Kuoa mwanamke wa kichaga

    mmesema mengi lakini sijui kama kwasasa hivi kuna mtu asiyependa pesa na tukienda kwenye sekta husika za hao wanaofanya ngono kwa pesa tukawauliza kabila kwa sasa hivi tutawakuta hata wamasai wakati zamani wamasai walikuwa ni mkuki mlangoni mambo yanaendea but now shee bila pesa mi sikupi but...
  3. S

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Hakuna sababu ya kuwa mna viti maalumu kwa kweli ni bora viwe mwisho
  4. S

    Mgomo mkubwa wa wenye vituo vya mafuta 2011!

    duh! wapi tunakwenda sasa jamani wana jf wenzangu kila mahali mgomo.
Back
Top Bottom