jaribu kufuatilia ushauri uliopewa hapo juu na pia mweleze kuwa umri si kikwazo katika maisha ya sasa na mwambie abadilike
ukiona hakuelewi ujue huyo hajakupenda kwa dhati.
mmesema mengi lakini sijui kama kwasasa hivi kuna mtu asiyependa pesa na tukienda kwenye sekta husika za hao wanaofanya ngono kwa pesa tukawauliza kabila kwa sasa hivi tutawakuta hata wamasai wakati zamani wamasai walikuwa ni mkuki mlangoni mambo yanaendea but now shee bila pesa mi sikupi
but...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.