Recent content by seven eleven

  1. seven eleven

    Picha: Zitto atikisa KASULU, Mkutano wa hadhara

    Zitto kakaribishwa kwa shangwe na vigeregere,kwa kweli watu walikuwa wengi sana.waze wa heru juu walimvika nguo ya asili.kwakiha inaitwa mbuzu na kofia yake akapewa na mkuki.zitto kasema kuwa yeye ataendelea kuwatetea wanyonge wote bila kubaguwa ni mkoa gani.kwani yeye si mbunge wa kigoma tu,ni...
  2. seven eleven

    Mkutano wa CHADEMA Kasulu mjini wafanyika, lakini...

    Baada ya dr.slaa kuparamia jukwa ,wanainchi wa kasulu kuka stand bye kwakumsikiliza,gafla mabango yakapandishwa hewani na vurugu kwasana.dr akawaomba wanainchi kutulia ili aweze kusoma mabango ilishindikana nahatimaye watu wasio fahamika wakaanza kurusha mawe,polisi hawakuchewa kurusha mabomu ya...
  3. seven eleven

    Tundu Lissu amjibu aliyekuwa mwenyekiti Mkoa wa Singida

    Utakubalije ujinga kama huu?
  4. seven eleven

    kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

    Zittoooooooo
  5. seven eleven

    kura ya maoni; Zitto vs Mbowe

    Ukisema zitto anauso mchafu,na pinda je,kwa maendeo kgm tunayo kwa sababu ya zitto.ataendelea kuwa kizito ndani ya chama.chadema bila zitto haiwezekani.
  6. seven eleven

    Zitto Awe Mbaya Wana Kigoma Wawe Wazuri!

    Zitto ataendelea kuwa kizito ndani ya chama kama jina lake lilivyo.wasijindanganye kuwa kigoma tutamtenga zitto wetu kwani katuletea maendeleo makubwa sana.kigoma bila zitto haikubaliki.
  7. seven eleven

    Hodi wajanja wa jf,nikaribisheni

    Ninaitaji kufahamu mengi zaidi kuhusu jf.tuko pa1
Back
Top Bottom