Jamani naombeni kujua kama kuna anayeelewa juu ya watu wanaofanya mawasiliano ya moja kwa moja viwandani China na Uturuki. Biashara hii imekuwa ikifanywa sana na watu siku hizi ambapo wananunua bidhaa kwa bei rahisi sana China kutoka kiwandani moja kwa moja. Ukiacha Aliexpress, Alibaba, Amazon...
Jamani naomba kuuliza kinapopatikana kiwanda cha kutengeneza yebo yebo kwa Kisemvule. Nataka nianze kufanya biashara hiyo nikanunue nipeleke sehemu nikauze.
Kwa mnaofahamu hata bei za jumla hapo tafadhali naomba mnisaidie, na mawasiliano pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.