Nimeliangalia jambo zima la kilichotokea ni pamoja na matamko ya baadhi ya viongozi wa hizi tasisi mbili za wahariri na clouds kwakweli wamejidhalilisha kama walijijua hawana misimamo na maamuzi kusengekuwa na haja kujitokeza na kufyatuka hadhalani wamemfanya makonda kuonekana shujaa kwakweli...
Kuna watz nashindwa kuwaelewa kila kitu mtu anataka kukijibu hata kwa hili la overspeaking kuna mtu anatoa mchango kuwa mbona Kenya na wao huwa wanasema this is foolish huyu kiongozi yeye ni mungu kuwa ukisema hapo kakosea kusema ina kuwa kama ni dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu nasema kama...
Hotuba zake nazo zinachosha kila siku ni zile zile kuibiwa imekuwa wimbo wake amejuwa kuwa Tanzania inaibiwa Leo mbona hakuwahi kusema alipokuwa waziri wa ujenzi kwanza anatufanya watz kuonekana kulialia kila siku aongee mambo mengine kama hana akae kimya hata mashamba ya jkt ni kuibiwa...
Nimependa creativity siasa za upinzani uwanaharakati kushoto saivi ni kufanya siasa kisomi mdogo mdogo watajibu mpaka majibu yatawaisha na ukiwa na akili utaielewa mikakati ya upinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.