Recent content by servant of God

  1. S

    Kwa dada aliyeokoka(naomba uwe mke mtarajiwa)

    hallow wana JF Najitokeza kwa mara kwanza hapa JF kutafuta rafiki wa kike ambae baadae atakuwa mke wangu,mimi nina sifa hizi -umri wangu ni miaka 35 -urefu ni cm 168 -siyo mwemba siyo mnene ni wasitani, rangi ni maji ya kunde -elimu yangu ni shahada ya kwanza,na nimuajiriwa -mimi ni...
  2. S

    kwa dada aliyeokoka(naomba uwe mke mtalajiwa)

    hallow wana JF Najitokeza kwa mara kwanza hapa JF kutafuta rafiki wa kike ambae baadae atakuwa mke wangu,mimi nina sifa hizi -umri wangu ni miaka 36 -urefu ni cm 168 -siyo mwemba siyo mnene ni wasitani, rangi ni maji ya kunde -elimu yangu ni shahada ya kwanza,na nimuajiriwa -mimi ni...
  3. S

    CHADEMA na CUF waungana kipinga nyongeza ya posho bunge la katiba

    hebu angalia wabunge hawa walio kwenye kikao, cha kwanza walichokumbuka ni kudai posho eti laki 3 kwa ck haitoishi, subiri kidogo alafu jiulize, ungekuwepo kwenye lile bunge ungukuwa upande gani? usinijibu ila jiulize 2 na baada ya hapo uwe na sababu ya kuwapinga au kuwasaporti, mimi ningekuwepo...
  4. S

    Natafta muoaji wa ukweli

    ungejieleza kidogo,wewe ni jinsia gani na unayemtafuta,ungepunguza kejeli za hawa jamaa
  5. S

    Nimechoka kuwa alone

    pole! miaka 13 cyo midogo,haya MUNGU akufanyie wepesi
  6. S

    Natafuta wakunipenda

    mh! wakukupenda na siyo mpendane?
Back
Top Bottom