Hongera sana aisee.. nilijichanganya na ZD30 hakuna rangi sikuona mixer kuua turbo mara tatu..
Nika swap nikaweka QD32 mwaka wa tatu sasa nakula maisha..
Kama haujasaliwa na VAT, aliyekupa kazi atakulipa kulingana na kazi yako nae Kama atakulipa bila VAT..
Utampa risit isiyo na VAT na yeye atakulipa bila VAT (kama umesajiliwa VAT, maana yake wewe ni wakala wa TRA kuisaidia kukusanya VAT)
Your contract is still Valid usikimbilie VAT mzee kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.