Recent content by senzighe

  1. S

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Jamani, mbona mnazungusha mambo hivi? Warioba wenu alishawaambia ni kweli aliandika kujiuzulu,mnataka muambiwe na nani tena ?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Ujinga na upuuzi mtupu,kila siku kutunga habari ili tu muonekane mmeandika.Juzi hapa tukaambiwa Deo ni Muislam na mambo kibao kuhusu yeye.Hamtafanikiwa kamwe.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

    Sasa hivi ukimpa hata mia anakushukuru
  4. S

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Dini zenyewe mmeletewa tu hapa halafu mnajifanya nyie ndio mna dini kuliko hata huko zilipotoka wajinga nyie.Babu wa Babu aliyemzaa Baba wa babu yako au mama yako walikuwa ni dini gani?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Balozi Emmanuel Nchimbi?

    Mmmh ! Ila maombi ya nguruwe pori kumpata Simba ni mtihani !
  6. S

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    ACHA MZANZIBARI , HATA ANGEKUWA MRUNDI , SISI TUNAMTAKA.
  7. S

    JamiiForums Tanzania TUPUUZE UPOTOSHAJI

    Duuuh ! kama ni fake basi DW watakuwa wameumbuka kisawasawa maanake walikuwa wanatangaza na hata kuwahoji watu ndani ya TZ kwa mbwembwe na shangwe
  8. S

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi ndie pekee mwanasiasa mzoefu kitaifa na kimataifa anayeaminika na kukubalika pasina chembe ya shaka ndani na nje ya CCM

    Hayo ni mapenzi yako baada ya kusikia kajiuzulu. Huyu kuna lake analotamani liwe lakini ndiyo hivyo tena tamaa ya fisi. Viongozi wako wengi na wenye uwezo na akitoka anaingia mwingine.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Dr. Mbuyiseni Ndlozi: Who Gave You Power Mama Samia?

    Hopeless Mbuyiseni Ndlozi.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Yeriko Nyerere ana chuki ya kiwango cha juu dhidi ya Tundu Lissu?

    Hiyo ndiyo demokrasia,Kuwa huru kutoa maoni yako bila unafiki, hata kama linaumiza. Na hili lazima liingizewe kwenye katiba mpya amabyo tumetakiwa tuipiganie juu chini.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe Wakoloni walishajenga mabwawa ya umeme kama hili la Nyerere kwa kitambo sana!

    Ungekuwa UDSM wewe moja kwa moja ungeitwa KIPUNGA.
Back
Top Bottom