Recent content by senzighe

  1. S

    JamiiForums Tanzania Watanzania majembe wanaommaliza Samia huko US

    NONSENSE!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Bongozozo aanza kuisaidia Tanzania, atinga Bunge la Ulaya kuchochea kuni

    Amenyooka gani ni jinga lingine tu hilo. Tanzania tuache kuwachekea chekea hawa watu,hawa wanakuja wakiwa na kazi maalum.Wanaenda mpaka vijijini na kunywa supu na mtori wakijifanya wanaipenda Tanzania kumbe ni 'Hayawani el kubra'. Na asikanyage tena hapa tanzania.
  3. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Bwana Mayalla umeongea ukweli.tena kweli tupu !
  4. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Hata huko Urusi wanaongea Lugha yao,hata Mchina akiwa hapo hataongea Kingereza. Vijana wa leo lakini bado mna 'Hang Over' ya kikoloni nadhani mlirithi kwa Baba zenu kwa sababu mlizaliwa baada ya mkoloni kuondoka.Ndiyo maana wanakuwepo wakalimani.Angeongea Kigogo labda ingekuwa ni ajabu kwani ni...
  5. S

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia katikati ya ulinzi mzito akijiandaa kupaa angani kuelekea Urusi

    Hata sisi hao mashoga wenzenu wa Magharibi hatuwapendi na hatutaki kabisa kuwasikia. Mama ,ukialikwa hata Uchina nenda tu,hata North Korea nenda,tupo bega kwa bega na wewe. Ni baraka kubwa sana na neema kwako kukataliwa na mashoga kwani hata Mungu kawalaani.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Hii ziara naiunga mkono 100%. Hebu sasa tuwageukie wale ambao walikuwa na sisi waafrika weusi na kutusaidia wakati tunakandamizwa na kutawaliwa katika nchi zetu na wakati huohuo wamagharibi wakiunga mkono wakandamizaji na wanyonyaji walioikalia Afrika yetu. Kwa hali ilivyo sasa hivi huko...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Mkuu,wala siyo kwamba unamkumbusha,huyo Bw. mnayemuita Jenerali anajiona ni mjuaji wa kila jambo ,haya maneno aliyaongea mchana kweupe. Swala la nyumba hizi lilimuuma sana na ninadhani alitegemea na yeye apewe. Na ajue kwamba waliopewa zile nyumba ni watanzania siyo wakuja. Nyumba zile zilikuwa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Kwanza muelewe hapa Tanzania sasa hivi katika FITNA watano (5) wakubwa wa kisiasa ya nchi yetu ,huyu mnayemuita Jenerali Ulimwengu anshika nafasi ya nne (4), watatu wa mwanzo mnawajua lakini hata FITNA namba tano anajulikana. Tumuombe Mwenyezi Mungu asiwajaalie watu hawa katika azma yao mbaya...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Hivi haya majitu mbona hayasikii kabisa? hawawezi kufanya siasa bila kutukana ?
  10. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Ni vyema kama una mwanasheria uandae wosia wako ili akauhalalishe,kwa sababu muda wowote wewe ni 'Inna-Lillah wa ina-illaih raj-uun'
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

    Daah! naamini Jamal Malinzi akiona mpira au hata kitenesi kinadundadunda barabarani anatimua mbio kwenda kujificha.
Back
Top Bottom