Amenyooka gani ni jinga lingine tu hilo. Tanzania tuache kuwachekea chekea hawa watu,hawa wanakuja wakiwa na kazi maalum.Wanaenda mpaka vijijini na kunywa supu na mtori wakijifanya wanaipenda Tanzania kumbe ni 'Hayawani el kubra'. Na asikanyage tena hapa tanzania.
Hata huko Urusi wanaongea Lugha yao,hata Mchina akiwa hapo hataongea Kingereza. Vijana wa leo lakini bado mna 'Hang Over' ya kikoloni nadhani mlirithi kwa Baba zenu kwa sababu mlizaliwa baada ya mkoloni kuondoka.Ndiyo maana wanakuwepo wakalimani.Angeongea Kigogo labda ingekuwa ni ajabu kwani ni...
Hata sisi hao mashoga wenzenu wa Magharibi hatuwapendi na hatutaki kabisa kuwasikia. Mama ,ukialikwa hata Uchina nenda tu,hata North Korea nenda,tupo bega kwa bega na wewe. Ni baraka kubwa sana na neema kwako kukataliwa na mashoga kwani hata Mungu kawalaani.
Hii ziara naiunga mkono 100%.
Hebu sasa tuwageukie wale ambao walikuwa na sisi waafrika weusi na kutusaidia wakati tunakandamizwa na kutawaliwa katika nchi zetu na wakati huohuo wamagharibi wakiunga mkono wakandamizaji na wanyonyaji walioikalia Afrika yetu.
Kwa hali ilivyo sasa hivi huko...
Mkuu,wala siyo kwamba unamkumbusha,huyo Bw. mnayemuita Jenerali anajiona ni mjuaji wa kila jambo ,haya maneno aliyaongea mchana kweupe. Swala la nyumba hizi lilimuuma sana na ninadhani alitegemea na yeye apewe. Na ajue kwamba waliopewa zile nyumba ni watanzania siyo wakuja. Nyumba zile zilikuwa...
Kwanza muelewe hapa Tanzania sasa hivi katika FITNA watano (5) wakubwa wa kisiasa ya nchi yetu ,huyu mnayemuita Jenerali Ulimwengu anshika nafasi ya nne (4), watatu wa mwanzo mnawajua lakini hata FITNA namba tano anajulikana.
Tumuombe Mwenyezi Mungu asiwajaalie watu hawa katika azma yao mbaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.