Ujinga na upuuzi mtupu,kila siku kutunga habari ili tu muonekane mmeandika.Juzi hapa tukaambiwa Deo ni Muislam na mambo kibao kuhusu yeye.Hamtafanikiwa kamwe.
Dini zenyewe mmeletewa tu hapa halafu mnajifanya nyie ndio mna dini kuliko hata huko zilipotoka wajinga nyie.Babu wa Babu aliyemzaa Baba wa babu yako au mama yako walikuwa ni dini gani?
Hayo ni mapenzi yako baada ya kusikia kajiuzulu. Huyu kuna lake analotamani liwe lakini ndiyo hivyo tena tamaa ya fisi. Viongozi wako wengi na wenye uwezo na akitoka anaingia mwingine.
Hiyo ndiyo demokrasia,Kuwa huru kutoa maoni yako bila unafiki, hata kama linaumiza. Na hili lazima liingizewe kwenye katiba mpya amabyo tumetakiwa tuipiganie juu chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.