Kipo tabata kisukulu kina ukubwa wa sqm 1515. Hati miliki safi ipo kutoka serikalini. Kinafaa kwa makazi au biashara. Huduma za umeme na maji vipo. Kipo sehemu ambayo tayari imeshajengeka sana.
Bei 38Mil
Pm for more details
Kwani mwanaume mwenye mtoto hasitahili kuwa na mke incase hayupo kwenye uhusiano wowote na mzazi mwenzie? Je wale wenye watoto but bahati mbaya wamefiwa na wake zao hawaruhusiwi kuoa tena?
And who said mume anapatikana kanisani tu? Let me assure you my dear MAMU ONE can meet with her husband...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.