Kwanza niseme mimi ni mkatoliki mzuri sana kiongozi katika level za chini lakini pia msomi KIASI wa chu o kikuu.Ni aibu kubwa sana kwa benki ya kanisa kuingia katika kashfa ya aina hii.nnaamini wameskia kuwa kwa namna flani wamehusika na wizi huu wa iptl,kama hawahusiki wangecome out na kusema...
Mawazo kama haya ndo yatafanya nchi yetu iendelee kuwa maskini...wakati watu wanaenda mbele kwenye education etc wewe unashadadia viongozi wasio na cv ya maana.najua utabisha lakini ubishi wako kaa nao wala usijibu
Pasco na Mh Masele na wenzio wekeni facts mezani acheni siasa,kama mnasema Balozi ni jasusi tupeni facts if there are any...embasy imeweka facts zao kama mna evidence acheni maneno ya kijiweni....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.