maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
ina maana mtu yoyote akipewa ela na rugemalira ni fisadi?
yes na tunaomba u support kampeni ya kususia beer za windhoek zinasozambazwa na bepari in good faith
ina maana mtu yoyote akipewa ela na rugemalira ni fisadi?
Banki Ambrosiano ikilala chali ulikuwa umezaliwa? Fuatilia ilimilikiwa na nani na ilikufajye. Ukishapata hayo linganisha na Banki Mkombozi.Kwa mwendo huu wa ss utauza kwa hasara maana kama ni nchi makini ingeweza kusimamisha kabisa operation ya Mkombozi Bank.
Usiwe mkali mpaka ilipofika Bank yetu imeshachafuka sana, ianze kujisafisha kwa kuwaonfoa wote waliohusika kwenye sakata hili.
Mimi ni MKATOLIKI Sikubaliani na board member kuwa fusadi, mwizi wa mali za umma, mawili aachie ngazi mwenyewe ay apigwe chini.
Banki Ambrosiano ikilala chali ulikuwa umezaliwa? Fuatilia ilimilikiwa na nani na ilikufajye. Ukishapata hayo linganisha na Banki Mkombozi.
Acha uzushi wewe. Board Members wa Mkombozi tunaowajua ni hawa:Wanajamii tunahatarisha maisha yetu kuwaletea musiyoyajua katika kasha hii ya Tegeta Escrow. Ni wajibu wetu kufichua mauvo yanayofanywa na viongozi wetu wakishirikiana na wapiga diliwa kimataifa ' Fixers' kama kina James Rugemalira.
Wiki iliyopita kuna thread ilianzishwa hapa JF ikawatahadharisha wananchi kutonunua hisa za Mkombozi Commercial Bank kwakua Ghost Owner wa benki hiyo ni mmoja wa watuhumiwa katika kashfa ya Escrow. Mtu huyo si mwingine bali ni James Rugemalira.Ni ukweli usiopingika kuwa Mkombozi Bank inatumika na James Rugemalira katika biashara zake za kitapeli chini ya mwavuli wa Kanika Katoliki.
PLACIDIUS LUOGA NI NANI?
Mnamo tarehe 2.5.2014 siku ya Ijumaa majira ya saa sita mchana kiasi cha shilingi MILIONI 121.2 za Kitanzania (121,200,000) kilihamishwa kutoka Account No: 00120102523901 ya MKOMBOZI BANK ( Akaunti hii inamlikiwa na JAMES LUGEMALIRA) kwenda Account No: 00120100022801 ya benki hiyo hiyo ya MKOMBOZI BANK inayomalikiwa na Bwana PLACIDIUS LUOGA.
Swali huyu Bwana Placidius Luoga ni nani haswa?
Bwana Placidius Luoga ni Kamishna Msaidizi wa TRA ( Deputy Commissioner General TRA) amezaliwa tarehe 7January 1954. Ana Masters of Science in Tax Administration.Uchunguzi niliofanya kwa msaada wa watu wangu wa karibu ndani ya MKOMBOZI BANK inasema mnamo tarehe 18 August 2009 Kamishna huyu msaidizi wa TRA aliteuliwa kuwa Mkurugenzi katika Benki Hiyo ambayo inafanya kazi chini ya mwavuli wa Kanisa Katoliki.
Wengine katika mgao huo pamoja na nyadhifa zao ndani ya Mkombozi Commercial Bank ni hawa wafuatao.
S/N NAME LOCATION POSITION AMOUNT (TZS) 1 Rweyongeza ALfred Bitungwa Dar Es Salaam Shareholder 40.2Million 2 Bishop Methodius Kilaini Bukoba Board Member 80Million 3 Placidius Luoga Dar Es Salaam Director 121.2 Million
Acha uzushi wewe. Board Members wa Mkombozi tunaowajua ni hawa:
Kajipange halafu uje tena Placidus Luoga hayuko katika TRA tena .kesha staafu..leta umbea unaolingana na ukweli walao
Kajipange halafu uje tena Placidus Luoga hayuko katika TRA tena .kesha staafu..leta umbea unaolingana na ukweli walao
Kaka as long as ni BANK YA DINI ilitakiwa iwe kwenye MAADILI ya hali ya juu.Haitakiwi kuwa na shareholders ambao ni mafisadi nor board directors.
Tusikwepe ukweli,tutende kinachotakiwa kutendwa,uadilifu wa kanisa uko wapi?
Kajipange halafu uje tena Placidus Luoga hayuko katika TRA tena .kesha staafu..leta umbea unaolingana na ukweli walao
Story yako ipo kama picha la UKIMWI, ambapo sterling ndio huwa anakufa! Nimeipenda sana mkuu.......sasa sijui itaendelea wiki ijayo mida kama hii ikiwa na sterling mwingine?
Mwandishi unakimbizwa .......... Kama vile unaandika umejificha kwenye andaki
Acha kupotosha umma we kilaza. Kama una chuki binafsi na benki ya mkombozi funguka na siyo kuendekeza uongo mchana kweupe. Wewe unadhani benki wanapokea pesa kama wanauza nyanya mpuuzi wewe. Hujui kama benki zinaendeshwa kwa taratibu na sheria.
Hivi unajisikiaje unapodanganya umma kuwa hao ni board members wa Mkombozi? Kwa kukusaidia ingia kwenye website ya Mkombozi ujiridhishe na hicho unachosema. Soma hapa -Board of Directors
mimi sio mkatoliki ila kuna watu wana ajenda binafsi na hili kanisa sasa wanataka kutumia hii skendo kutekeleza malengo yao
wewe mpumbavu kwani wizi wa escrow umefanyika leo? tumia akili zako acha kuburuzwa kisa kanisa. jiulize ni lini hilo kanisa limekuletea chakula zaidi ya wewe kulipelekea sadaka? bila sadaka yako hakuna kanisa. wenzenu ulaya wameyapuuza kweli kweli siku hizi. mmebaki nyie wakuletewa tu.!
Leo tarehe 22 November 2014, huyo Luoga ni mkurugenzi wa benki ya Mkombozi?
So kilaini ni board member wa mkombozi.
dah...!!
Angeulizwa kwanza aseme huo mgawo ulikuwa wa nini. At least Tiba alisema ni kwa ajili ya shule. Yeye ilikuwa ni kwa ajili gani wakati hana mke wala vitegemezi?
Benki inachafuliwa na wajinga wasiojua sheria za benki na namna benki zinavyoendeshwa. Halafu hao wote alio wataja sio board members wa Mkombozi Bank ndio maana nimemwambia asome website ya Mkombozi ajiridhishe na hicho alichokiandika.