Recent content by Sensei Tai

  1. S

    Huyu mwanamke itakua anaumwa ugonjwa gani ?

    Kuna mwanamke mmoja nipo nae kwenye mahusiano na huwa tutakutana kimwili mara mbili au mara tatu kwa mwezi. Mara nyingi tukikutana huwa hatutumii kinga sababu wote tulienda kupima kipimo kikubwa na kuonekana wote damu zetu zipo safi kwamaana hatuna maambukizi ya virusi vya UKIMWI. Wiki mbili...
  2. S

    Hivi siku hizi kuna recruiting agency ya kuaminika?

    TaESA haitoi ajira inatoa tu Internship
  3. S

    Huwa unahisi vipi ukimpigia na kumtext mpenzi wako halafu yeye akujibu tu text bila kukupigia?

    Mfano umeanza kumtumia ujumbe wa kumsalimia mpenzi wako lakini ukaona kimya kisha baada ya dakika 20 ukaamua kumpigia lakini pia hapokei, unaamua kutulia kisha yeye anakuja kukujibu tu ujumbe wako baada ya lisaa na hakupigii ingawa alikuta missed call yako. Je huwa unachukuliaje hali hii pindi...
  4. S

    Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    Siku si nyingi wata ku P Diddy kwa kupenda wake za watu
  5. S

    Hivi siku hizi kuna recruiting agency ya kuaminika?

    Zamani hizi recruiting agency zilikua na msaada sana kwa watafuta ajira lakini siku hizi nyingi zimekua na ubabaishaji. Siku hizi zimeibuka recruiting agency ambazo zinaomba fedha kwa watafuta ajira na wengi wao ni matapeli, wanakuambia toka Tshs kadhaa tukupe nafasi na ukisema huna wakate...
  6. S

    Startimes kuna tatizo gani?

    Channel pekee ninayoipata yakulipia ni ESPN pekee lakini zingine zote zimekata zimebaki tu local channels wakati bado package iko active hadi mwisho wa mwezi Siwezi sema ni tatizo la signal strength kwamba dish imeyumba wakati local channels zinapatikana pamoja na ESPN, kama ingekua ni tatizo...
  7. S

    Hivi kuna watu karne hii bado wanaumizwa na mapenzi?

    Nakumbuka miaka ya nyuma niliwahi kuwa na mpenzi ambae nilimpenda sana na nadhani alijua kwamba nampenda hivyo akawa anautumia upendo wangu kwake kama udhaifu na fimbo ya kunichapia. Nilijitahidi kadri ya uwezo wangu kumvumilia mana hata ningesema nimuache haraka haraka nitaacha wangapi, siku...
  8. S

    Kwanini wanaume hawapendi kutumia condom?

    Wanawake ndo hawapendi Condom sio wanaume, mimu kuna wanawake wanne tofauti tofauti walikua wananiomba niwatafune bila Condom nikagoma.
  9. S

    Hivi bado kuna wanaume wanazama chumvini?

    Nakumbuka niliwahi fanya kwa mmoja tu, wengine wote napiga mashine nasepa tena sana sana wao ndo wana suck my dick lakini mimi sinyonyi uke wake.Na ndo nimefunga ukurasa sintokaa nije kunyonya kum** ya mwanamke yeyote
  10. S

    Kero ya mitandao ya simu kushikilia pesa za wateja pindi miamala inapofeli

    Kuna hii tabia ya mitandao ya simu kushikilia pesa za wateja pindi miamala inapofeli huwa inakera sana Ijumaa iliyopita nilifanya muamala toka akaunti yangu ya Tigopesa lakini cha ajabu pesa ilikatwa lakini kule nilipokua nadeposit muamala mpaka sasa hauja reflect na pesa haijarudishwa kwenye...
  11. S

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Haina mkopo wa Bank kweli hiyo ? mana msije mkawa mmechukua mkopo halafu mnataka kumwachia mtu maumivu na ugonjwa wa moyo.
  12. S

    Ukiona mke wako anakudharau jua tu haumfikishi kileleni

    Kwenye ndoa kuna changamoto nyingi sana ambapo sio kila changamoto inahitaji vikao vya nje ili kuzitatua, moja ya changamoto hizo ni baadhi ta wanawake kuwadharau waume zao. Kama una mke unampa huduma zake zote za msingi lakini anakudharau na wakati mwingine hata kujibishana na wewe jua tu...
Back
Top Bottom