Recent content by senkombati

  1. S

    GE2020 Wana Arusha tumrudishieni Dkt. John Magufuli asante ya kufikisha usafiri wa treni Arusha, kwa kuifuta CHADEMA hapa mjini

    Tajiri Tanzanite, Sisi sio washamba ili tutoe shukurani kwa treni ya mizigo.
  2. S

    Kuna tofauti gani kati ya Bachelor degree of science with education and Bachelor degree of education with science?

    Tofauti ya kwanza ni katika content. BSc. Ed anapata content ndogo ya kozi za education ila BEd Sc. anakuwa na content kubwa ya kozi za education. Tuseme BEd Sc. Ame major education Tofati ya pili ni malengo ya program. BSc.Ed inalenga kuwaandaa walimu ila BEd Sc. inalenga kuwaandaa wakufunzi...
  3. S

    Utaratibu mpya kwa wanaotaka kujiunga na MASTER DEGREE UDSM

    UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM OFFICE OF THE DEPUTY VICE CHANCELLOR - ACADEMIC DIRECTORATE OF POSTGRADUATE STUDIES ADMISSION INTO POSTGRADUATE PROGRAMMES FOR 2016/2017 ACADEMIC YEAR The University of Dar es Salaam invites applications for admission into its postgraduate programmes for the 2016/2017...
  4. S

    Mikopo ya mwanafunzi Mwaka wa kwanza MWAL. Memorial UONGOZI WA CHUO Umulikwe.

    Magufuli fanya ziara za kushitukza kwenye mashirika ya umma hasa taasisi za elimu ya juu kuna ukiritimba uliozidi
  5. S

    Mikopo ya Wanafunzi wa Mwaka wa kwanza Mwal. Nyerere memorial, uongozi Umulikwe.

    Uongozi wa chuo cha kumbukumbu ya Mwal. Nyerere unaonekana kuwa ni moja ya jipu lililoiva linalosubiri kutunguliwa. Swala hili linadhihirika wazi pale ambapo bodi ya mikopo kutoa fedha hizo mapema kwa chuo Ila hadi sasa wanafunzi wa Mwaka wa kwanza hawajapewa fedha hizo na wakaendelea kuwa na...
  6. S

    Mikopo ya mwanafunzi Mwaka wa kwanza MWAL. Memorial UONGOZI WA CHUO Umulikwe.

    Uongozi wa chuo cha kumbukumbu ya Mwal. Nyerere unaonekana kuwa ni moja ya jipu lililoiva linalosubiri kutunguliwa. Swala hili linadhihirika wazi pale ambapo bodi ya mikopo kutoa fedha hizo mapema kwa chuo Ila hadi sasa wanafunzi wa Mwaka wa kwanza hawajapewa fedha hizo na wakaendelea kuwa na...
  7. S

    Lowassa mwizi hadi Lowassa wa UKAWA na mabadiliko ni sawa na Sauli mtesaji hadi Paulo

    Mabadiliko ni lazima. Hata Vijana wa Lumumba mkiwanunua wadau hamwezi kuzuia mafuriko kwa mikono.
  8. S

    Lowassa mwizi hadi Lowassa wa UKAWA na mabadiliko ni sawa na Sauli mtesaji hadi Paulo

    swissme Soma mchambuzi uuelewe. Usikurupuke kujibu. Usiwe kama vijana wa Lumumba
  9. S

    Lowassa mwizi hadi Lowassa wa UKAWA na mabadiliko ni sawa na Sauli mtesaji hadi Paulo

    LOWASSA MWIZI HADI LOWASSA WA UKAWA NA MABADILIKO NI SAWA NA SAULI MTESAJI HADI PAULO MHUBIRI INJILI Kwa wale wasiotaka kuamini kuwa MTU mwenye dhambi sana anaweza kuibuliwa na kutumiwa na Mungu kama apendavyo, leo nataka nitumie kisa cha biblia. SAULI ambaye alifahamika kama mwonevu na...
  10. S

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Eti anajigamba kuwa atawaonesha UKAWA kuwa yeye nini nani? Sisi tulipokuwa tunamuunga mkono si kwa sababu alituhubiri vizuri Ila ni kwakuwa alikuwa mrengo tunaoupenda.
  11. S

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Eti anajigamba Ku Wa atawaonesha UKAWA kukwa yeye nini nani? Sisi tulipokuwa tunamuunga mkono si kwa sababu alituhubiri vizuri Ila ni kwakuwa alikuwa mrengo tunaoupenda.
  12. S

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Ndugu watanzania, Mimi ni muumini wa mabadiliko, uumini wangu ulianza 1995 katika uchaguzi ambao niliushuhudia japo nikiwa bado sijitambui vizuri. Sikuwa najua mambo vizuri Ila nashukuru Mungu kwa kunipa upeo wa kuichukia ccm na kuamini maendeleo na mabadiko ya kijamii na kiuchumi hayatoki ccm...
Back
Top Bottom