Recent content by sengugange

  1. sengugange

    CAG anawatakia Watanzania wote heri ya Sikukuu ya Pasaka.

    Ahsante, Mungu akupe afya njema
  2. sengugange

    Nini Kinachoendelea IMF na World Bank?

    Hii kwangu haihitaji elimu ya juu kwa maana tumeshudia biashara kubwa zikifungwa kama migodi na kudorola kwa zao la korosho halafu takwimu zioneshe uchumi unapaa hii itakuwa ajabu ya dunia
  3. sengugange

    Askofu Rweyongeza: Mfumo wa Elimu ukivurugwa na Mbumbumbu kupewa madaraka, Amani ya Taifa itatoweka

    Amemnukuu Alberta Estein . Taifa haliangamii kwa sababu ya wajinga Bali ni kwa sababu ya waadilifu wanapo kaa kimya pindi waonapo maovu yakishamili katika taifa
  4. sengugange

    Ipo haja ya kuchunguza uraia wa baadhi ya wanasiasa

    Mtoa mada ukapimwe mkojo
  5. sengugange

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Mwandosya is independent person and urging with Prof you also need to be independent person rather than being in favor of somebody's interest a.k.a stone
  6. sengugange

    Rais Magufuli: Chuo chochote kitakachojaribu kugoma sitasita kuwafukuza, tena kwa muda usiojulikana!

    Hivi ni speech ipi ya mkulu inaweza kubaki kama regancy?
  7. sengugange

    Waziri Mwigulu: Baadhi ya waliopotea wanahusika na uhalifu

    Ukiwa mhalifu unatezwa au unapelekwa mahakamani?
  8. sengugange

    Kwanini wanawake pekee ndio humlilia Rais Magufuli?

    Leo dogo kalambishea m3 mambo ya ajabu sana
Back
Top Bottom