Hii kwangu haihitaji elimu ya juu kwa maana tumeshudia biashara kubwa zikifungwa kama migodi na kudorola kwa zao la korosho halafu takwimu zioneshe uchumi unapaa hii itakuwa ajabu ya dunia
Amemnukuu Alberta Estein . Taifa haliangamii kwa sababu ya wajinga Bali ni kwa sababu ya waadilifu wanapo kaa kimya pindi waonapo maovu yakishamili katika taifa
Mwandosya is independent person and urging with Prof you also need to be independent person rather than being in favor of somebody's interest a.k.a stone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.