Ndugu unajua unachoongea? Hii inadhihirisha una ubongo wa kuku. Jakaya Kikwete ndiye M/kiti wa CCM Taifa ndio maana ametoka kuepuka mgongano wa kimaslai. Angekua mtu wa kawaida asingetolewa, lakini bado nje ya kikao ana ushawishi mkubwa ili mtoto wake apitishwe.Na ndio maana amepitishwa. Kwani...
Unajidanganya. Zitto ni kijana mwenye tamaa ambaye anaendeshwa na matukio. Nia yake si kuwakomboa wananchi bali anataka kuwa mwenyekiti wa chama. Ni ubinafsi na uchu wa madaraka wa kijinga alikua nao huyu bwana mdogo. Sasa nadhani roho yake itatulia anaenda kuwa mwenyekiti ACT-Tanzania. Nyie Act...
Utitiri wa vyama hautasaidia kuleta mabadiliko ya kweli ni ubinafsi na uchu wa madaraka. Wanatafuta njia ya kupata ruzuku. Na huyo Limbu ni mala** wa siasa mara CUF( aligombea ubunge Jimbo la Temeke 2010), akaenda ADC Alikua katibu mkuu na kuzunguka mikoani kukitangaza na leo yupo Act- Tanzania...
CCM ni mavuvuzera tu. Lakini tutafika tunapotaka tukishirikiana na wengine kueneza Virusi vya ukombozi Tanzania nzima ili ukombozi wa watu wetu upatikane. Hongeni sana kamanda William na Amos Mzigo kwa kazi mnayofanya Hananasif. Pamoja Daima kuelekea safari ya matumaini 2014/2015
CCM kinakufa, hakina mtaji tena. Vyombo vya ulinzi na usalama vinafanya kazi ya kuilinda. Lakini ipo siku watanzania wataamka na kuanza kupambana na dola ili kudai haki zao. Rushwa, unyanyasaji, uonevu, kutosikilizwa na upendeleo vimekithiri ndani ya mfumo wa chama cha mapinduzi.
CCM wanafanya kila namna majimbo yaliyoshikwa na wapinzani wasipeleke maendeleo. Ukifika uchaguzi waseme mliowachagua wamewafanyia nini? Ila wanachofanya makamanda tunakielewa tutawachagua tena 2015. Hakuna kulala mpaka kieleweke
Jasho la wanyonge linatumika vibaya. Daa babu yangu Mzee CHIGUMBI kule MKANGAWALO yupo tayari kushiriki kutunga katiba kwa posho ya Tsh10, 000 kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.