ni kweli kabisa. ebu acheni majungu. hamna hata uhakika. mbasha nae anajikosha anaona alichofanya hakifai anataka mwenzie na achafuke. Lakini Mungu ndo anaejua ukweli
huyo mwanaume si mwaminifu. na hapo bado ni uchumba je akisha kukuoa si ndo itakua bara. wewe tulia utapata mwingine ambae ni chaguo lako. tena unakazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.