Recent content by semtawa

  1. S

    Alichokifanya Israel ni dharau dhidi ya Iran. Kuna haja ya kurudia tena mashambulizi kule Israeli

    1. Usiombee vita ya Iran na Israel (US na washirika karibu wote wa NATO isipokuwa Uturuki). Pili, tukio la juzi kama si US, France na Uingereza basi Israel kungekuwa na story ngumu. Biden alisema, wameisaidia Israel kuangusha karibu makombora yote! Tatu, Iran kafanya mashambulizi ambayo intel...
  2. S

    Ukweli ambao Serikali haitaki kuwaambia watu wa Rufiji; Bwawa la JNHPP limezidiwa na maji, lazima yamwagwe ili kuliokoa lisivunje kingo

    Soma hiyo makala kutoka Maktaba ya Uhuru na Mzalendo. Mimi sikuwa nimezaliwa mwaka 1974, ila najitahidi kusoma soma. Mei mwaka 1974 watu waliokolewa na helikopta Rufiji. Waziri Mkuu wakati huo Hayati Mzee Kawawa alifika kuhamasisha wahame. Karibu maktaba kongwe.πŸ™πŸ™πŸ™
  3. S

    Nimwombe Rais Samia awaondoe haraka wanajeshi wetu kule DRC Congo. Mnapigana na nchi ya EAC

    Story za vijiweni hizi na ovyo kabisa! Mheshimu Amiri Jeshi Mkuu wetu na nchi. Hao M23 ulisahau walivyochapwa enzi za Mwakibola? Muhimu tuiombee DRC amani, wahuni waondoke na askari wetu waendelee kuwa salama. πŸ™πŸ™πŸ™
  4. S

    Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

    Katika hiyo mantiki; anayepeleka jina lake lijadiliwe ni Mhe. Rais na Mwenyekiti wa Chama. Ndiyo maana nimesema kwanza, hakuna sehemu hadi hivi sasa Mwenezi ameondolewa. Kama kutakuwa na uamuzi huo basi utaratibu utakuwa sawa na uliotumika kumteua. Kitu kimoja tu; sioni mantiki kumlaumu Mhe...
  5. S

    Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

    Kumbuka Mhe. Makonda hajaapishwa pia, taarifa ya Ikulu haijasema kama kaondolewa katika nafasi ya Uenezi! Ndiyo maana nimesema kama ataondolewa basi hakuna sehemu Mhe. Rais atakuwa amekiuka Katiba. Utaratibu huu pia ulitumika kwa Mhe. Sophia Mjema. So kuhusu nini kilipaswa kuanza; bado uamuzi...
  6. S

    Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

    Sioni tatizo! Kuna mambo mawili; hoja ya msingi ni kukiukwa taratibu. Nikadefend Sioni tatizo! Nilimdefend Mhe. Rais kwa madai kakiuka katiba. Nikasema taratibu za kikatiba mbona zinaendelea! Pili, kuondolewa uenezi kwa uteuzi wa URC pia sioni shida. Cheo ni dhamana! Pia, Mhe. Rais ndiye...
  7. S

    Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

    Sawa, nakuelewa! Tumkosoea kwa fact basi! Sasa mtu anasemaje Mhe. Rais kavunja katiba ya Chama wakati taratibu zenyewe za Katiba zinaendelea? Kikao cha Chama kitaanza na kufuatia uapisho.πŸ™πŸ™πŸ™
  8. S

    Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

    Nikuulize swali; nini kinaanza kati ya kuapishwa URC na kikao cha Chama? Lazima tuheshimu taasisi ya Rais! Siyo kila kitu ujuaji tu. Pia, cheo ni dhamana ukiteuliwa na Mhe. Rais popote pale ni heshima kubwa sana.πŸ™πŸ™πŸ™
  9. S

    Nembo kwenye mimbari ya Rais imebadilika?

    πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™πŸ™πŸ™
  10. S

    Rais Samia: Katika laini za simu Milioni 61 zilizopo nchini, ni milioni 33 pekee ndizo hutumia Internet

    Ukiweza kwa heshima tu futa hiki ulichokiandika. πŸ™πŸ™πŸ™
  11. S

    Dkt. Mpango: Vijana wamejaa tamaa ya fedha

    Nakubaliana sana na Mhe. Makamu wa Rais. Vijana wa leo wengi tuna hitilafu ya uadilifu na uaminifu kwa taifa. Huwa najiuliza kama wengi wetu tunajua kwamba Taifa la Tanzania limejengwa na vijana wa kale wakiongozwa na Mwalimu. Leo hii wengi wetu tumejaa bahari ya uchu na matumbo yasiyo kinahi...
  12. S

    Charles Hilary afafanua sehemu ya ardhi ya Bagamoyo kumilikiwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

    Angalizo tu; wachangiaji baadhi wajue hilo eneo limetolewa tangu enzi za Mwalimu. Wasije kufikiria ni awamu ya sita. Maana kuna wavivu wa kusoma history ya nchi ila wepesi kujadili history ya nchi wasiyoijua.πŸ™πŸ™πŸ™
  13. S

    Mzee Duni: Vyama vya siasa siyo Jambo la Muungano. Mwalimu Nyerere aliunganisha TANU na ASP Ili kuidhoofisha Zanzibar

    Muungano ulilkuwepo tangu 1964. CCM ilizaliwa 1977. Katiba ya mwaka 1977 ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mabadiliko ya Katiba yamefanyika mara nyingi kuanzia Tanganyika kuwa Jamhuri, 1962, ya mpito ya mwaka 1965.... kama case ni mwaka 1977 kuzaliwa CCM na mwaka 1977 kuundwa Katiba ya...
  14. S

    Mzee Duni: Vyama vya siasa siyo Jambo la Muungano. Mwalimu Nyerere aliunganisha TANU na ASP Ili kuidhoofisha Zanzibar

    CCM ni muunganiko wa TANU na AFRO. CCM ya Nyerere ina heshima yake kubwa sana ndugu. Hao wengine ni jamaa flani wa mjini 'wanaofanya siasa!'πŸ™πŸ™πŸ™
  15. S

    Mzee Duni: Vyama vya siasa siyo Jambo la Muungano. Mwalimu Nyerere aliunganisha TANU na ASP Ili kuidhoofisha Zanzibar

    Wapinzani wangekuwa na fikra pana wala wasingejadili suala Muungano. Iko hivi simple tu; Dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilishaundwa Aprili 26, 1964. Hakuna kiumbe atavunja dola hii ktk muundo wake. Pili, Duni ajadili mipango ya ACT; mambo ya CCM na TANU na Afro hayamhusu na wala si ya...
Back
Top Bottom