Sasa mkuu wa nchi kaongea hadharani wewe unasema uongo? Nilidhani busara ya akili unge save hii uone kama Mo akikaidi hatanyooshwa? Usicheze na taasisi ya Rais. Akisema hadharani kitu ni ama ujirekebishe haraka au usombwe na mafuriko.
Hicho kipande cha video kilicholetwa hata ukitoa rafsiri yako haina sehemu imesema Rais Samia ni bora kuliko Mwalimu Nyerere zaidi ya kwamba katekeleza yale Baba wa Taifa aliyatamani kuyafanya.
Mleta hoja una shida sana! Bahati mbaya wengine wamejaa ama wameisikiliza na kuitazama hii video hawakuielewa au wameamua kujipotosha! Mbaya sana!
Alichokisema Profesa Kabudi ni; Mhe. Rais katimiza maono ya Baba wa Taifa ambaye aliyatamani kuyafanya. Katoa mfano Bwawa la Nyerere, kuhamia Dodoma...
Sijibu tusi la sifa za mtu mhusika. Endelea na sifa yako hii. Mimi situkani hata mtu anayeandika kwa level hii ya darasa la kwanza! Kwa hiyo nimekumark sitajibu tena comment yako yoyote. Wasalimie darasa la kwanza wenzako kule Facebook.
Hizi fikra za aina hii huwa zinanipa shaka sana! Iko hivi; Mpina amewekewa pingamizi na mwanachama nwenzake. So CCM isihusishwe.
2. Hivi si sisi tunataka mahakama iwe huru au isiwe huru? Mahakama ikiamua Msajili, INEC walikosea tunahusishaje CCM?
3. Ikitokea Mpina kashindwa kesi tutasema...
Kuna vitu vingine sijui Watanzania tunataka nini? Kwa nature ya kesi kama hii Ulitaka iendeshwe vipi? Kampeni zimeanza tayari jalada likae hadi wiki ijayo? Kesi ikicheleweshwa issue ikiwahi issue!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.