Ni jambo la fedheha Tena aibu kwa Chama cha Mapinduzi kuwaachia viongozi wa Jumuiya ya wazazi chini ya uongozi wa Abdallah Bulembo, Sefu Hamisi John Singo kuuza shule ya wazazi ya Hedaru sekondari na kudhulumu wafanyakazi haki zao.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi tunaomba uingilie kati jambo...
Raisi Samia yapasa kuwahoji waliouza shule ya wazazi ya Hedaru na kudhulumu wafanyakazi stahili zao.
Mwaka 2016 Abdalah Bulembo Sefu Khamis Mohamed na John Singo waliouza shule ya Jumuiya ya wazazi ya Hedaru na bila aibu Wala utu wakawadhulumu wafanyakazi haki zao. Kila wafanyakazi hao maskini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.