Jamani mimi maisha magumu na mimi waje wanigaie ten percent nipige kimya nani ananamba za Chenge mzee wa vijisent ama mzee yeyote wa Escrow nipige kimya nisishadadie maana shida mpaka mguuni wao wanagawa tu
Mtoa mada lengo lako kubwa hasa nini mbona sijakuelewa vizuri
Au unataka kusema aliyoyatoa Kafulila hayana ukweli wakati yameenea nchini huu mwaka wa pili kabla ya Kafulila hajayaibua tena au yamewagusa hadi vipapa wenu mjini
Asitupake mafuta kwa mgongo wa chupa
Mangapi kayafumbia macho leo anajifanya kujisafisha kwa wananchi atueleze ufisadi wa katiba waloufanya nao tueafanye nini akiwa yeye ni mmoja wapo waloongoza kuchakachua katiba ya wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.