ni muda wakuja kutupa darasa na sisi watu wa mkoa wa tanga kwa nini watu wa mbeya unawapendelea hivyo kila siku huko ina maana sisi watu wa tanga mmeamua kututoa sadaka kwa ccm?
hivi kama chama cha chadema ni cha kikanda cha kidini cha kikabila kuna umuhimu gani wa kujiunga na chama aina hii ukawa wakat unaanzishwa hivyo vyama vyote vilikuwepo na vilikataa kujiunga na ukawa na baazi yao wakawaita ukawa wasakatonge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.