Ah!
Kawaida mtoto akimaliza darasa la 7 kama amefaulu huchaguliwa kuendelea na masomo katika shule zetu za serikali ambapo hakuna ada wala michango katika awamu hii.
Huyu binti yeye hakuchaguliwa? Ina maana amefeli! Kipindi hiki watoto wanapendelewa sana wanachaguliwa mpaka wenye wastani wa...
Sisi sote ni viumbe wa Mwenyezi Mungu, hao viongozi wetu wamechaguliwa wapate kutuongoza, ila kama hujatumwa na Mungu kuwaongoza watu wake basi ujue utakua kituko mpaka kwa wajukuu mpaka utakapotubu
Sawa, tuombe Mungu kesho ifike. Ni muhimu (kwa wanaoamini kwamba Mungu yupo) kutanguliza maneno ya kumtumaini Mungu pale tunapoitaja kesho maana hatuna hakika nini kinakuja japo kwa sekunde moja ijayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama watanzania wakiwa na uzalendo ule wa Prof. Assad, basi nchi hii itapiga hatua kubwa sana kimaendeleo.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Uhalifu unapofanywa na mtu binafsi kwa utashi wake huo ni mzigo wake mtu huyo. Tafadhali msihusianishe Ujinga wa Mtu mmoja 'an individual' na chama.
Kama ni kweli amefanya hivyo basi ni utashi wake wala hajatumwa na chama
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Kabla ya kuzungumza tushirikishe viungo vyetu vya fahamu!
Afisa Elimu ni Mkuu wa Idara, anasimamia idara iliyo chini yake, huo muda wa kuingia darasani anautoa wapi au ni kutafuta ugomvi na watu? Hao wakuu wa shule hasa zile shule kubwa hawapati muda wa kuingia class kutokana na wingi wa...
Msimamo wa wabunge wote wa CHADEMA ni mmoja. Kama vipi wangeitwa wote kwa wakati mmoja au spika angetoa adhabu ya jumla ili kuokoa muda.
Watolewe wote halafu wabaki chama tawala wenyewe wajadili bajeti yao, hii pia itatusaidia kupima iwapo tutakua na wabunge kutoka chama tawala pekee bunge...
Huko ndiko kwa Wafipa
Jamaa hawana mchezo kanda hiyo wanajua jinsi ya kumaliza kesi zao wao hawahitaji polisi wala mahakama. Makombora yao huyatuma na kwa kawaida hayawezi kwenda off target.
Poleni wafiwa ila nawasihi wandugu haya maisha sote ni wapitaji, tusifanyiane ubaya wala tusilipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.