Recent content by Semi free

  1. S

    Dr. Kigwangala Huru!, Sasa Yuko Live On Clouds Radio!

    Anajipanga kulaghai umma ila ccm wote wako hivi......
  2. S

    Warioba ashitakiwe

    Huna tofauti na huyu
  3. S

    Warioba ashitakiwe

    Acha kutumia
  4. S

    Ushauri wa bure kwa Nape Nnauye

    Nape ana laana kila sehemu ya mwili wake kumbuka alishawahi kusema wazee walioko ccm wanasubiri kufa.
  5. S

    Je watu wanaipenda CCM au maslahi binafsi !

    Pesa kwanza wananchi baadaeeeee!!!!
  6. S

    Jaji Warioba aliwaonea hawa?

    Watanzania wengi tulikuwa hutujui udhaifu wa hawa jamaa kwa mamlaka ya zanzibar.Je! Mzee Warioba amewatendea haki Watanzania kwa kuwaumbua hawa jamaa?
  7. S

    CHADEMA nakupenda toka moyoni

    Bora gongo kuliko hii kazi
  8. S

    Nani kati ya CCM na CHADEMA anayeanguka na kufifia?

    Angalia vichwa vyao
  9. S

    Taswira ya Kalenga kiuchumi, kijamii na kielimu

    Akili yako iko hivi
  10. S

    Karibu kwa mkutanao wa ACT Mwanza leo

    Hakuna mpuuzi na mwendawazimu duniani kama ABAKORAKAMO. Asipookota makopo mwaka huu nadhani ATAJINYONGA.
  11. S

    Bajaj, bodaboda marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es Salaam! Waandamana ofisi za CHADEMA

    Nijuavyo mimi ni ukweli usiopingika kuwa mtetezi pekee wa makundi yafuatayo ni Chadema tu:- 1.Wanafunzi wanaotoka familia masikini, 2.Wafanyakazi wote wanaolipwa lima cha chini cha mshahara wakiwemo mapolisi na waalimu, 3.Wakulima wanaopangiwa bei ya mazao waliyolima wenyewe bila msaada...
  12. S

    Rais Kikwete atoka nje katika kikao cha kumpitisha Ridhiwani

    Ana haki ya kufanya lolote hata kuuza unga kwa kofia ya baba yake bila kuguswa na dola.
Back
Top Bottom