Recent content by semafanyakitu

  1. S

    Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

    Ninachojua Sitta siyo lolote na hasa ikizingatiwa anataka sifa kutoka kwa chama chake ili wampitishe kugombea urais! ni wazi kwamba atasikiliza chama chake,halafu huwa hana msimamo binafsi na ni mpenda sifa sana, kumbuka alivyozima mjadala wa Richmond hadi leo maazimio hayakutekelezwa! Nafasi...
  2. S

    Samweli Sitta augua ghafla, alazwa

    Tokea zamani huyu mzee anaumwa si unaona kila mara anakuwa na kitambaa makamasi yanatoka kila wakati hii inaonesha ubongo una hitilafu!
  3. S

    Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

    Ninachojua Sitta siyo lolote na hasa ikizingatiwa anataka sifa kutoka kwa chama chake ili wampitishe kugombea urais! ni wazi kwamba atasikiliza chama chake,halafu huwa hana msimamo binafsi na ni mpenda sifa sana, kumbuka alivyozima mjadala wa Richmond hadi leo maazimio hayakutekelezwa! Nafasi...
  4. S

    Yanayojiri kwenye pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea wa CCM Kenga

    Wanakalenga msikubali kumpa mwingereza kura
  5. S

    Kagame adaiwa kupandikiza makachero nchini kuipeleleza Serikali… mbunge atajwa kuhusika!

    wewe chezea akili pana ya KITUSI ni sawa na mwisrael! kama KIKWETE wenu amekalia mchiliku na usalama ni kunywa pombe na wanawake!Rwanda wako kikazi chini ya kamanda wao KAGAME wanafikiria wananchi wao na wako tayari kuwafia sio hapa usalama unajua mikutano ya CHADEMA tu,madini yetu yanaibia...
  6. S

    Dk. Slaa: JK ameliingiza taifa vitani

    Huo ndio uwezo wa Kikwete na ccm wote ulipofikia! muhimu ni kuwangoa tu! kwa ujumla huwezi kutawala nchi twiga wanasafirshwa hai,rais anakutana na wezi wa EPA unadanganya eti pesa zimerudishwa na wamekukabidhi kumbe uongo tu,huwezi kusaini mkataba tata wa tangu Richmund-Dowans-Symbioni...
  7. S

    Lowassa kufutiwa uanachama wa CCM?

    wee wamuguse waone cha moto! wasijilinganishe na cdm!
  8. S

    Lowassa kufutiwa uanachama wa CCM?

    Bora wao wachukue ZITTO na CDM wachukue EL
  9. S

    KIGWANGALLA apendekeza Rais Asitishe Bunge Maalum la Katiba ili Kukubaliana Kuhusu Muundo Muungano!

    Huyu Kigwangala sio mtanzania nakumbuka alipowekewa pingamizi akasaidiwa na familia ya kikwete kwa vile ndiye dk wa familia ya kikwete! sasa anataka mchakato huu uharibike kwani hata kwa akili ya kawaida yeye anazaungumzia sera za ccm wakati hii ni katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania na...
  10. S

    SERIKALI TATU NI LAZIMA - CCM mkipinga basi TANGANYIKA na ZANZIBAR kutwaka MOTO

    Serikali tatu ni lazima maana rasimu yenyewe imetayarishwa kwa ajili ya serikali tatu! hamna jinsi ya kubadili labda ije rasimu nyingine maana ukuishe badili maudhui yaliyo ukurasa wa kwanza kila vitu vingi lazima vibadilike angalia idadi na muundo wa wabunge,madaraka ya raisi wa nchi washirika...
  11. S

    Kafulila: Tusimhukumu Zitto kwa uKigoma bali dhamira, upeo na uadilifu

    Kafulila acha kupotosha! huo ndio ukweli watu wa Kigoma ni waroho wa madaraka na uwezo wa kuongoza hawana! hivi kweli kwa akili yako Zitto anaweza aongoze chama kama Mbowe,au wewe ulipokuwa unataka kuongoza kweli wewe na Mbatia mnalingana! tatizo la watu wa Kigoma ni wabishi hata kwa jambo...
  12. S

    Vijana 7 Wachadema wanaofanya vizuri nje ya Bunge.... hawa hapa

    Hiyo ni kweli asimia 100 ,mwingine kamanda anayetegemewa kwa usawishi ni kijana mmoja anaitwa FOCUS LAURENT,huyu jamaa akihutubia utafikiri Mandela rejea kongamano la vijana siku ya uhuru ukumbi wa landmark hotel!
  13. S

    Nionavyo mimi: CHADEMA kuwa na mwenyekiti mpya tofauti na Mbowe ni hatari kubwa

    Huu ni ukweli mtupu! ila Mkoa wa Tabora hawaeleweki, Rukwa bila nguvu ya uchawi hawaelewi chochote! kwa KIGOMA umepatia 100% kasora hujasema kidogo watu wa pemba nao wanakaribiana na KIGOMA, sifa nyingine ya KIGOMA kila walipo lazima kutokee vurugu hata misikitini,kwenye kwaya na makanisani...
Back
Top Bottom