Recent content by sem2708

  1. S

    Report ya CAG na upotevu wa nyeti wanaume umegundua nini?

    Hizi mbinu zina sura ya mtu fulani
  2. S

    Jinsi Barabara za jimbo la Isimani zilivyo mbovu, sidhani Samia kama ataenda kumzika Wiliam Lukuvi🤣🤣

    Ubinafsi wa viongozi, hawapo kwa ajili ya wananchi, ni mabepari weusi...
  3. S

    Mwigulu Nchemba: Niliongea na Lukuvi jana tukapanga kikao

    Huyo Afande hapo mbele kushoto vipi?
  4. S

    KERO Barabara ya Dareda (Manyara) hadi Singida haina mashimo, ina mahandaki, ina maana viongozi wetu hawaioni?

    Ahsante maana nlikuwa na mpango kupita huko... sasa sipiti
  5. S

    KERO Barabara ya Dareda (Manyara) hadi Singida haina mashimo, ina mahandaki, ina maana viongozi wetu hawaioni?

    🤣🤣🤣🤣🤣,Poleni, mpigieni mbunge, hamjui kwanini mlipiga kura??
  6. S

    Balozi Kaganda atembelea ofisi za TPA nchini Zimbabwe

    Kumbe ni mrembo hivyo? Pia mdogo kiumri, namtakia kazi njema. Amependeza sana
  7. S

    KERO DAWASA kwanini mnafunga maji usiku, pakikucha mnafungua?

    Rekebisha title au hata content , vyote havieleweki, pole kukosa maji, tuko pamoja
Back
Top Bottom