Kwa anayehitaji mdada wa reception anaejua computer vizuri na mambo ya recordings amesomea biashara yupo hapa dar au popote penye hitaji km hilo yupo tyr kwa 0788997980- 0714400414 na amekuwa operatio manager ktk petrol stations kwa zaidi ya miaka mitatu
Hata kama kuwa pump attendant yuko tayari kwakuwa ana uzoefu mkubwa kwa kutuma order Ku supervise mauzo ya mafuta na hususani shughuli mzima za petrol station ana uzoefu wa miaka zaidi ya mitano kwa KAZI hiyo na hata ikiwa mambo ya recordings au receptionist yulo tayari wadau...
Jamani wadau narudi tena kwenu yule ndugu ambae alikuwa ni operation manager katika kusimamia vituo vitatu vya mafuta bado anahitaji msaada wa KAZI hiyo yuko dar kwa sasa no zake no 0714400414-0788997980 ni mtaalamu wa computer pia amesomea biashara msaada wenu wadau
Kuna ambaye huko serious kwa KAZI hizo na amesomea veta computer,commerce, na amekuwa akisimamia vituo vya mafuta( petrol stations) zaidi ya mpaka mitano anapatikana kwa 0714400414 0788997980 yuko dar muda wowote huko tayari
Ni kweli hata mimi Nina ndg yangu kaachishwa kazi toka mwaka 2015 na akichangia vizuri tu lakini mpaka Leo hajalipwa na ameambiwa mpaka January 2018 inaumiza saana hata mwanawe kafukuzwa shule kiss kukosa malipo yake vema sasa wawe na ubinadamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa heshima na taadhima wadau naja tena kumuombea KAZI iwe ya msaidizi wa ofisi,petrol station, recording, mwenye ujuzi wa computer kwa simu no 0788997980 au stationery yuko tayari amesomea biashara na ana uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Humu no sehemu ya kusaidiana,kushauriana,nk na kumsaidia MTU inategemea na vile unavyoguswa na tatizo la MTU bila kushurutishwa hayo we yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameona Uzi huu kaniomba nikufahamishe km utakuwa tayari MPE contacts zako akupigie taf amesomea veta na ana uzoefu huo kwa miaka zaidi ya mitatu anasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule ndg ndo KAZI alizosomea hizo ambae anatafuta kwa kupitia no zake0714400414 yuko tayari anaomba no zako akupigie ila hajajiunga na JF ndo mana anaomba umpe no akupigie
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.