tax compliant
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 1,211
- 1,195
- Thread starter
- #21
What now? Hujui future yako, nakushauri uwe unaweka akiba ya manenoNani alikushauri usome hyo kozi'
What now? Hujui future yako, nakushauri uwe unaweka akiba ya manenoNani alikushauri usome hyo kozi'
Mkuu na mie natafuta kaziJamiiForums Invisible Moderator nimepata kazi tayari, naomba ufute hii thread ili kuniepushia usumbufu.
MkuuKwa nafasi ya kujitolea tuma cv: charleschad78cc@gmail.com
Usikate tamaa ndugu kwa majibu, kila mtu atajibu anachoona kinafaa kuongea ila ipo siku nawe hauta kuwa unaangaika hivi..maombi yazidi kuimarika
Tax compliant, Naamini yametimia maneno hayo! HongeraAmen mkuu
Ndio mkuu, asante sana ndugu na ubarikiwe sana.Tax compliant, Naamini yametimia maneno hayo! Hongera
Amen, tuombeane mema.Ndio mkuu, asante sana ndugu na ubarikiwe sana.