Mwaka mmmoja nyuma wakati nipo shule nilikua napiga ny*to. Lakini thanks God niliacha baada ya kuona nafsi yangu inanilaumu. For now nina stress za hela na kusoma sana. Hamu zikija nakumbuka kiapo nilicho apa kwamba nikirudia basi Mungu asiruhusu ndoto zangu zifanikiwe. Hivyo nafungulia mziki...
Kiongozi, mi sijaona hayo madhara yanayoelezwa. Labda kama sijioni. Na suala la kuchekacheka nimesha experience kwa baadhi ya wanawake. Kama yatakuja huko mbeleni basi niombeeni, mana sasa hivi ndo mapenzi hayapo kichwani baada ya kugundua wadada zetu hawa mpaka uwe na hela ndo wanaweza tulia...
Kweli kiongozi, nimekupata. Sema kuna sababu ya kusema siwezi kazi zenye kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu. Ila mbali na hapo kazi yoyote nafanya kiongozi.
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, nipo, Dar Es Salaam.
Nisiwapotezee muda, naombeni kazi kwa yeyote anayeweza niona nafaa;
Ninaweza fanya kazi yotote, haswa ambayo sio ya kutumia nguvu sana kulingana na afya yangu.
Nina uwezo wa kuongea na watu vizuri (kiingereza na kiswahili).
Nina elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.