Ndyo maana ikaitwa elimu ya sekondari kwa miaka miwili, it means 1&2 mwaka mmoja, 3&4 mwaka mmoja pia. Huo mwaka unaosoma 3&4 ndyo mwaka huo huo utakaofanya mtihani wa kidato cha nne.
Elimu ya sekondari kwa miaka 2, inatakiwa uwe na cheti cha la saba na baadaye unafanya mtihani unaitwa QT yaan qualifying test kwa mwaka wa kwanza yaan 1&2, then ukifaulu unafanya mtihani wa form four kama private candidate.
Kayoko alionesha kuwa ni offside na mkono wake akamnyooshea Mayele kwamba ameingilia mchezo, yaani linesman amekubal ni goli ila refa kajipa mamlaka ya kung'amua offside.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.