Recent content by Sele Iputa

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nina swali kuhusu Elimu ya Secondari ya miaka miwili, nisaidieni majibu

    Ndyo maana ikaitwa elimu ya sekondari kwa miaka miwili, it means 1&2 mwaka mmoja, 3&4 mwaka mmoja pia. Huo mwaka unaosoma 3&4 ndyo mwaka huo huo utakaofanya mtihani wa kidato cha nne.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Nina swali kuhusu Elimu ya Secondari ya miaka miwili, nisaidieni majibu

    Elimu ya sekondari kwa miaka 2, inatakiwa uwe na cheti cha la saba na baadaye unafanya mtihani unaitwa QT yaan qualifying test kwa mwaka wa kwanza yaan 1&2, then ukifaulu unafanya mtihani wa form four kama private candidate.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

    Huu ndio muda simba kumtumia Makonda kama mshauri mkuu😂
  4. S

    JamiiForums Tanzania Yanga, mchukueni Barbra maana imekuwa tabia yenu kuvizia makapi ya Simba na kubeba

    Relax mbona unahofu kama umekatika mkia
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ramadhani Kayoko amelikataa goli la Kisinda kwa bahati mbaya TU?

    Kayoko alionesha kuwa ni offside na mkono wake akamnyooshea Mayele kwamba ameingilia mchezo, yaani linesman amekubal ni goli ila refa kajipa mamlaka ya kung'amua offside.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Aliyepata update yoyote akaunti ya HESLB

    Haifunguki kabisa by jebi
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mkopo awamu ya pili tayari au bado

    Kama kuna siku wadogo zetu wamelala na viatu basi ni leo
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kuanzia sasa neno ni hili

    Maana yake chawa
Back
Top Bottom