Recent content by sekurume junior

  1. S

    ACACIA waanza taratibu za kuukabidhi mgodi wa Buzwagi, wamekabidhi Uwanja wa ndege

    Accacia walishatangaza kuufunga mgodi wa Buzwagi ifikapo mwezi december mwaka huu na walitangaza kabla hata makinikia hayajazuiliwa baada ya mgodi huo kuwa umekwisha dhahabu yote chini ya ardhi.Hicho kiwanja cha ndege walichokabidhi ni mojawapo ya taratibu za kuufunga mgodi na kutukabidhi...
  2. S

    Uzembe Wetu umetufikisha Hapa ...Inauma

    Serikali irudi katika mashule yote na ikague magari yanayotumika kubeba wanafunzi kwani mashule mengi yanatumia magari yaliyochakaa sana kiasi kwamba inawezekana ndiyo ikawa hata ndiyo chanzo cha ajali iliyochukua watoto wetu.
  3. S

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nashukuru kwa hili NMB,kingine ambacho ni kero kubwa hapa Kahama ni foleni kuwa ndefu wakati madirisha yanayotoa huduma ni mawili tu,mawili mengine ni kwa ajili ya huduma ya fast track na bulk. Na kuna madirisha matatu yapoyapo tu hayatoi huduma yoyote.Kwa nini na hayo nayo hayatoi huduma au ni...
  4. S

    Onyo kwa bunge dhidi ya adhabu kwa Makonda

    H Hata siielewi nia yako nini,kwa hiyo unategemea ukiondoa hao viongozi ndiyo kuleta maendeleo ya nchi? Weka pumba kando leta hoja za msingi.
  5. S

    Matokeo ya Bunge la Afrika Mashariki: Saba washinda, Mnyaa safi, Wagombea wa CHADEMA waangukia pua

    Tatizo wabunge tunaochagua ni wale wanaongalia shibe zao na si uzalendo na maslahi ya nchi,na ndo maana Makonda alipotangaza vita ya unga wakaja juu kama povu la coca cola.Badala wakaisimamie serikali wao wanazimamia itikadi za vyama.Change we need
  6. S

    Dk Slaa: Mvumilieni Rais Magufuli. Natafakari kurudi nchini siku yoyote

    Mzee wewe ulikimbia nchini,ukaenda kula raha kwa wazungu maneno-maneno kuhusu nchi yetu? We baki na raha zako huko canada na sisi tubaki nchini kwetu tutajuana wenyewe humu humu.Kaa kimya.
  7. S

    Mwezi mmoja tangu achaguliwe, Wana Ubungo wameshamchoka mbunge wao Saed Kubenea

    Sidhani kama umefanya utafiti wa kutosha toka kwa wananchi wa jimbo la Ubungo na kupata hicho unachokisema kuwa kachokwa.Bado mapema sana kutathmini utendaji wa Kubenea.Hebu tuwape muda pia ushirikiano wabunge wetu na tuwekeke siasa za vyama pembeni ili kujenga taifa bora.
  8. S

    Mashine za EFD sasa kutolewa bure na Serikali!

    Hilo sawa,ila pia TRA waangalie utaratibu wa jinsi ya ukokotoaji kodi wa hizo maahine.Vinginevyo mgogoro bado ni uleule.
  9. S

    Rais Magufuli akutana na wafanyabiashara, atoa siku 7 kwa waliokwepa kodi kujisalimisha na kulipa

    Ndugu yangu nadhani we we huyaelewi madai ya sisi wafanyabiashara na Minja.Tatizo si EFD,tatizo ni mfumo aliowekwa ktk kukokotoa kodi mfumo ambao unaumiza mtaji wa biashara.Naamini Rais JPM ataliweka sawa na utaona kama kuna mfanyabiashara atakataa kutumia EFD.
  10. S

    Watanzania tunasifia kupitiliza Magufuli, hakuna jipya lililofanyika mpaka sasa

    Siyo vibaya mtu kutoa hisia zake juu mambo yanavyokwenda,na hii itasaidia kuipa changamoto serikali katika kuendesha shughuli zake ili kufanikisha maisha bora kwa wananchi wake.Uko sawa mtoa Mada.
  11. S

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Masheikh zangu,hebu achaneni na siasa.Ninyi bakini ndani ya LAAILAHAILALLAH na upiga debe wa siasa wekeni pembeni.Mkiona siasa inafaa,dini tuachieni waumini.
  12. S

    Taasisi ya Kiislam yatoa tamko dhidi ya Lowassa na Gwajima, kuhusu Uchaguzi Mkuu 2015

    Masheikh zangu,hebu achaneni na siasa.Ninyi bakini ndani ya LAAILAHAILALLAH na upiga debe wa siasa wekeni pembeni.Mkiona siasa inafaa,dini tuachieni waumini.
  13. S

    Viongozi Wakuu wa NCCR - Mageuzi Watoa Tamko, Waikosoa UKAWA

    Viongozi wetu, huu si wakati muafaka wa hayo mnayofanya kama kweli mnataka kuiondoa ccm.Vinginevyo tutawaelewa na ninyi ni wale wale mnaovaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui.Hayo fanyeni baada ya uchaguzi,itakuwa jambo la busara kwa viongozi kama ninyi.
  14. S

    Kutoka Mkendo: Mkutano wa kampeni wa chama cha Mapinduzi mjini Musoma

    Chama kilekile,watu walewale,ahadi zilezile tam tam,mambo ni Yale Yale miaka 54.Sasa ni saa ya mabadiliko.
  15. S

    Tuambieni mabaya yake!

    Huu si wakati kusema mabaya ya MTU,ni muda wa kunadi ilani ya uchaguzi ya chama.
Back
Top Bottom