Recent content by sekhal

  1. sekhal

    JamiiForums Tanzania Ununuzi wa viwanja kutumia mfumo wa Tausi

    Hapana
  2. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-ardhi

    Search e ardhi utaiona
  3. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-ardhi

    Naweza pata namba zako mkuu tuwasiliane
  4. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-ardhi

    Kaka upo mkoa gani ? Na ulihamisha umiliki wa hati ya mfumo mpya au mfumo wa zamani?
  5. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-ardhi

    Upo halmashauri gan ?
  6. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-ardhi

    Habari wanajamii Mbele yenu naomba kufahamishwa kama kuna mtu aliyewahi kuhamisha umiliki (transfer) wa ardhi, hati za mfumo mpya kupitia e- ardhi. Maana mimi nimefanya kila kitu mpaka kupata tax clearance lkn mfumo ndio unanikwamisha kuendelea na transfer. Nimefika jiji majibu ni yaleyale...
  7. sekhal

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa e-Ardhi kukamilika ifikapo Juni 2026

    Mpaka sasa mfumo hauruhusu kufanya transfer na wananchi wanazid kununua tu viwanja, tunajikinga vipi viwanja kuuzwa mara mbili mbili
  8. sekhal

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndejembi: Tumieni mfumo wa e-ardhi kikamilifu

    Hongereni kwa mfumo mzuri, lakin mpaka sasa sielewi ni utaratibu gani mmeweka kwa watu wanaohitaji kufanya transfer (wenye hati za mfumo) maana tumekwama njiani. kama kuna utaratibu wakufuata basi tunaomba mtueleze wananch wenu
  9. sekhal

    JamiiForums Tanzania House4Rent Natafuta Chumba cha kupanga Bunju au Mapinga

    Habari zenu Natafuta room ya kupanga maeneo ya bunju karibu na stendi au mapinga karibu na shule ya baobab Mwenye kufahamu naomba anisaidie au aniunganishe na dalal wa maeneo hayo asanteni
  10. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Taasisi zinabagua wanafunzi wa baadhi ya Vyuo

    Umenena vyema kaka, N muda sahh wa vyuo vya bongo kuwa na urafiki wa karbu na waajiri na waajiri wasisite kutoa maoni yao nn kifanyike kuimalisha elimu unayotolewa na s kubagua tunamtaka yupi & hatumtaki yupi bila sababu za msingi
  11. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Taasisi zinabagua wanafunzi wa baadhi ya Vyuo

    Mfano tusaidie
  12. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Taasisi zinabagua wanafunzi wa baadhi ya Vyuo

    Ndipo wanapoelekea yan wanabagua sana
  13. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Taasisi zinabagua wanafunzi wa baadhi ya Vyuo

    Sasa mkiacha kuwaajiri nan atawaajiri ?
  14. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya Taasisi zinabagua wanafunzi wa baadhi ya Vyuo

    Habari zenu wanaJF Kuna hili swala naomba kuuliza Kwann baadhi ya taasisi znabagua candidates wa kuomba kazi? mfano unakuta post ya Kaz inasema priority n watu wa chuo fulan, au ukimfuata hr / director anakuambia siajiri chuo fulan Hii inamaana gani ? Ni kwamba hawawaamini NACTE na TCU au wana...
  15. sekhal

    JamiiForums Tanzania Kujitolea kwa mkataba Hospital ya rufaa Maweni - Kigoma

    Wanangu fursa hizo
Back
Top Bottom