Recent content by Sekalutu

  1. S

    Mh. William Lukuvi Tutajie Majina ya Vigogo Wanaojihusisha na Madawa ya Kulevya

    kusema kwamba wafanya biashara ya dawa za kulevya miongoni mwao ni wabunge na hawatapona na kuacha kuwataja kwa kigezo kuwa hana ushahidi mpaka sasa lakini kalihutubia bunge ila hana ushahidi huu ni ukiukwaji mkubwa wa kanuni za bunge na kushusha hadhi za wabunge.Hapa tunamfananisha lukuvi na...
  2. S

    Mh. William Lukuvi Tutajie Majina ya Vigogo Wanaojihusisha na Madawa ya Kulevya

    kusema kwamba wafanya biashara ya za kulevya miongoni mwao ni wabunge na hatapona na kuacha kuwataja kwa kigezo kuwa hana ushahidi mpaka sasa lakini kalihutubia bunge lakini hana ushahidi huu ni ukiukwaji mkubwa wa kanuni za bunge na kushusha hadhi za wabunge.Hapa tunamfananisha lukuvi na nyuki...
  3. S

    Mh. William Lukuvi Tutajie Majina ya Vigogo Wanaojihusisha na Madawa ya Kulevya

    Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu william lukuvi ashindwa kujenga hoja juu ya dawa za kulevya ni bora angenyamaza kuliko kuliabisha taifa
  4. S

    Kifo cha CCM kimetimia

    siamini hayo mnayo yasema cz hamja fanya reseach na msomi unajua (no reseach no rigth to say) Ni kweli ccm bado haijafanya vizuri ktk uongoz wake lakin hoja mnayoijenga kuwa ndo mwisho wa uongoz wake 2015 sio wako watu wanojua kusimamia nchi kama lowassa ambaye hata wapinzani wanakubali...
  5. S

    Kauli ya waziri Lukuvi baada ya kuzomewa Bungeni, inaonesha anajua wauza unga, atutajie vinginevyo..

    kweli kwa kauli hiyo waziri analidhalilisha taifa ni bora aresign uongoz hatuoni faida ya kupewa nyadhifa kubwa kama hiyo aliyopewa na mh;rais huu ni woga aige maamuz ya lowassa. ni bora aachie ngaz tutakosa uhusiano mzuri wa kimataifa na nch za nche.:A S 2152:
  6. S

    Kikwete: Nataka kurithiwa na rais kijana!

    Ni hoja pia wapo vijana wazuri kama january makamba na jery silaa lakini tunajua wazee dawa ni bora tumuachie mzee wa nywele nyeupe asimamie taifa hili la vijana.
  7. S

    jengeni hoja maamuzi ya lowassa acheni unafiki huyu ndie baba wa maamuzi tanzania.

    NATURAL JUSTICE INA VIPENGELE VITATU TU. CHA KWANZA RIGHT TO BE HEARD, RIGHT TO KNOW REASON TO MAKE DECISION AND RIGTH TO APPEAL. kwa maana hiyo basi mwakyembe alimnyima lowassa haki ya kusikilizwa, haki ya kujua sababu ili afanye maamuz na haki ya ya rufaa.Je mwakyembe alifanya kazi hiyo...
  8. S

    jengeni hoja maamuzi ya lowassa acheni unafiki huyu ndie baba wa maamuzi tanzania.

    Kauli ambazo sintazisahau lowasa alisema akimnukuu mwalimu . Mwalimu alisema nchi hii ina amani watanzania wanajua na dunia inajua. PINDI AKIWA ANAJIUZULU akasema kamati teule ya mwakyembe imesafiri mpaka marekani lakini mtu ambaye wanamtuhumu na kumsema kwa kirefu mle hawajawahi kumhoji...
Back
Top Bottom