Recent content by segitoo

  1. S

    Msimu wa kero ya michango ya harusi umewadia, Umejiandaaje?

    Pole sana lakini kama na ww uliwahi kuchangiwa ujue una deni sababu waliokuchangia pia walikuwa na majukumu lakini wakajitoa kama hujawahi kuomba mchango kwa yeyote kausha tu na jitahidi ukiwa na jambo lako pambana mwenyewe vinginevyo michango itakuhusu sana ukiona raha kupokea na kutoa ujue
  2. S

    TANZIA: Mama mzazi wa Mshana Jr amefariki dunia

    Pole sana kwa kumpoteza mama, Mungu mwenyewe awafariji ktk kipindi hiki kigumu
  3. S

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Sidha Tena kwa zaidi ya miaka miwili hapo lowa na acacia kwenye flat za karibu na station lakini baadae ilibidi nihame si kwa bunduki zile
  4. S

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Usijali nilidhani alinimaanisha mm sababu nishawahi kutoa mawili matatu juu ya SA nishaishi sana hapo cape town nikianza kigumu location Phillipi baadae Kensington na bellivile, kuna haja sasa ya kuchange Id ili kuzuia mgongano
  5. S

    Business ideas (Bure)

    Fanya biashara ya mazao ukijituma unaweza kupata hata zaidi ya hiyo 10%
  6. S

    Spain ni nchi nzuri kwa kufanya biashara

    Hizo alizeti zinatakiwa package za kg ngapi ngapi na usafirishaji ukoje pia naomba kuuliza vitu vya culture kama viatu na vikapu vinaweza kupata soko huko?
  7. S

    Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Morogoro (MOROWASA), mnatutesa na maji machafu wananchi

    Hujui unachoongea na kama ni mkazi wa Moro basi huishi maeneo haya ambayo tunapata shida hii ya maji yanayonuka na wadudu
  8. S

    Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Morogoro (MOROWASA), mnatutesa na maji machafu wananchi

    Ndg yaani ni shida MTU unawashwa kama umemwagiwa upupu na kujikuna ni aibu labda ukimbilie ndani UTI itakuwa imeishatutafuna vya kutosha
  9. S

    Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Morogoro (MOROWASA), mnatutesa na maji machafu wananchi

    Jamani ni kwa neema ya Mungu tu sisi na watoto wetu kuendelea kuwa hai kwa maji ya bomba tunayotumia hapa Moro nipo mazimbu hapa maji yanatoka machafu yana wadudu wana vichwa vikubwa na kimkia kidogo hivi ukifungua bomba tu harufu Kali mbaya ukioga haya maji unajikuna na unatoka mapele hiyo ni...
  10. S

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Pole shyshii lakini usikatishwe tamaa na hao matapeli endelea kupigania ndoto zako utafanikiwa tu
  11. S

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Kila la kheri malkia wa Nguvu Mungu akufanyie wepesi hapo mwambie mama akutumie barua ya mwaliko uende nayo ubalozini utapata viza faster
Back
Top Bottom