Wakuu, katika harakati nyingine ya kujiajiri.
Kuna hii idea ya car wash.
Sio vibaya kama tukipatiana details zote zinazozunguka hii biashara.
You know, stuffs kama vifaa, location ya biashara, expectaions za faida, changamoto, hasara, etc
Karibuni.
Wakuu, Katika soko la kariakoo, kama kichwa kinavyojieleza, naweza kupata fremu ya aina gani, katika eneo gani, etc kwa budget ya 1m to 1.5m kwa mwezi.
Karibuni.
Wakuu.
Wakuu nina 25million nje ya kodi ya pango, je itatosha kwa ajili ya hii biashara?
Je ni idea nzuri ya kunipatia kipato kikubwa kwa sasa na baadae?
Maeneo ya aina gani napaswa kuweka aina hii ya biashara ili niweze kupata mzunguko mzuri zaidi?
Karibuni wakuu
Hello Wadau,
Nafikiria kudeal na handbags za wadada aina tofauti sokoni kariakoo.
Kutokana na kodi kuwa kubwa za fremu nahitaji mauzo kuwa makubwa, je kwa hii idea iko sawa au itanichomesha mahindi?
Mitaa ipi ya Kariakoo inafaa kwa ajili ya biashara ya mikoba?
Na mengine mengi mtakayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.