Sasa kaka upo mtwara kwani hamulimi ufuta huko?mtwara na lindi ndio mikoa yenye fursa nyingi sana za biashara kwani ndio mikoa inayokuwa na misimu mitatu ya mazao ya biashara,kuna msimu wa ufuta ambao unaanza mwezi wa tano,kuna msimu wa korosho ambao unaanza mwezi wa tisa na kuna msimu wa mbaazi...
Mkuu nachoongea kipo serious sana aje huku lindi au aende hata mtwara maeneo wanayolima ufuta ndio utaona vijana huku wanavyotoboa maisha kwa wale wapambanaji lakini ila spoon feeding utaona kila kitu tabu tu dunia hii hauwezi kuwekeza kwenye biashara kama sio mtu wa kurisk katika upambanaji ni...
Mkuu tunauzia kwenye vyama vya ushirika(ghalani) kila baada ya wiki moja kama umepeleka mzigo wako wa tani moja au mbili etc hela zako zinaingia bank kwa maelezo zaidi kama upo tayari nijuze mkuu nikupe full details huku watoto wadogo wanashika hela tu sema starehe ndio zinawaharibu ila wale...
Njoo tununue ufuta lindi huku utaweka kama milioni nne tu hautokuja kujuta biashara ya mazao ni utajiri tosha amini hiki nachokwambia huku watu tunatoboa kwa ajili ya ufuta tu unanunua buku au buku jero kwa wakulima ww unakuja kuuza kuanzia 3500 mpaka 4200 kwa kilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.