Mm ndio namaliziamalizia hapa dalili zake kichwa kuuma pamoja na macho viungo vyote vya mwili vinauma pamoja na mwili kuwaka moto ndani kwa ndani..kipimo nilifanya mnazi mmoja hosp kwa 15,000 tiba nilikuwa natumia majani ya mpapai nachemsha halafu nakunywa nusu kikombe cha chai asubuhi na jioni...
Hivi sasa tuko ktk ufatiliaji wa kuwakamata wale wote waliotumiwa hela kupitia cm bank na tuko ktk hatua nzuri.. Muhimu utoe muda wako ktk ufatiliaji ww mwemyewe
Naona wengi wanakupa majibu rahisi.. Kifupi baadhi ya wafanyakazi wa tigo wasio waaminifu hushirikiana na wezi wa mtandao kuiba miamala ya wateja..tarehe 19/2/2017 saa 11 jioni niliibiwa cm maeneo ya keko ilikuwa na salio la Tigo pesa 95,000 yote ilitolewa na nilikua natumia cm bank wwakatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.