Hakina lolote kazi kubadili wanaume tuu.....mchezo wake maeneo ya makumbusho kinajifanya kinaingia saloon kikiwa kimeletwa na moja ya mabwana zake bwana akisepa tu kumbe anaappointment na bwana mwingine kinafuatwa muda huo huo hata dakika kumi hazifiki hata saloon hakuna tena!!!
Hongereni kwa kupata mahali pa kujifariji.....jinsi gani nyie wenyewe mnavyomfagilia Wema.....comment zinakaribia elfu moja....weka kajala uone.....Wema she is a rock star lol!!!!
Nashangaa kila nikitoka naona naitwa kwenye hivi vijungu vyenu....kwahiyo maudhui ya jukwaa hili ni kukalia umbea....chagua topic za kuingia kijana! Mwanaume ambaye mwanzo mpaka mwisho anacomment kwenye umbea mmmh.....ful wasiwasi....keep it up!!!!
Wewe yako c ndio inauzika! Mtaishia kutamani kila anaekuja bila kufikiri mwisho mnaishia wapi......waishia kukojolewa na kuingiziwa uchafu tu....utabaki hivyohivyo chuchunge!!!!
Baba ee....we shinda tu humu si ndio kazi uliyonayo, mwanaume mzima kukalia umbea! Kwanza nakaa kudiscuss mada na watu wasio husika.....ushauri hautolewi humu.....humu umbea tuu!!!!
Mwanaume rijali unashinda humu kwenye vigodoro vya watoto wa kike! Narudia kusema.....WAJINGA NDIO WALIWAO!!!! Thanx for the advice.....na ww endelea kushoboka humu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.