Kwa kweli napenda sana modem hata isipokuwa na vya ziada. Kumbuka lengo ni kupachika line ya halotel tu.
Vipi, hiyo modem yangu ya airtel inaweza kutoka lock?.
Mkuu kama niliotea kusubiri kuweka oda. Hapa nina modem ya airtel 3G za kitambo ndiyo naitumia sana, shida yao hawana bando za kupima, ndiyo nikafikiria kutafuta hiko kifaa kwa ajili ya line ya halotel.
Unaweza nipa link au picha ya hiyo mi-fi, thou napenda sana USB modem.
Kuna hiki pia, kwa maelezo yake kinaweza ku-function kama modem za zamani?.
Msisitizo, napenda ambacho hata nikichomeka kwenye PC nitapata internet bila shida.
Safi. Je, hizi dongle huwa zinaleta setup exe ukichomeka kwenye PC?. Kwenye maelezo zinasema ni plug and play na mimi napenda iwe inaleta profile kama modem za zamani.
Meli huwa zinasogea kubadilisha positions/locations pale radar zinaponasa ujio wa mizinga, tofauti na bases zilizopo huko ambako huwa wanashambulia sana ni vigumu kuzihamisha.
Ili uweze kupiga kitu chenye uwezo wa kufanya manuva ni lazima uwe karibu nacho au utumie mizinga yenye uwezo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.