Mchina amefanya watu wengi wa chini waweze kuishi maisha ya kisasa. Angalia sasa kampuni kubwa kama Apple na Samsung nao wanatoa simu za bei rahisi kushindana na wakina Tecno.
Mpe Mchina heshima yake kwa kuamua kulifikia tabaka ambalo kampuni kubwa ziliwasahau. Kutoka Nokia ya 120K hadi Itel...
Safi, next projects uje kwa hatua. Kuanzia soil test, ku-set msingi, mambo ya footings n.k especially kwenye maeneo nyeti kama hayo.
Hii project ya sasa natazamia ni kwa namna gani utarusha karata kitaalamu kwenye hatua ya back fillings na mbinu za kuzuia maji yasi-absorb kwenye msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.