Recent content by Seawhale

  1. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukrani kaka nafuata huu ushauri.
  2. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nitaifikiria hii.
  3. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa kweli napenda sana modem hata isipokuwa na vya ziada. Kumbuka lengo ni kupachika line ya halotel tu. Vipi, hiyo modem yangu ya airtel inaweza kutoka lock?.
  4. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu kama niliotea kusubiri kuweka oda. Hapa nina modem ya airtel 3G za kitambo ndiyo naitumia sana, shida yao hawana bando za kupima, ndiyo nikafikiria kutafuta hiko kifaa kwa ajili ya line ya halotel. Unaweza nipa link au picha ya hiyo mi-fi, thou napenda sana USB modem.
  5. Seawhale

    JamiiForums Tanzania List ya Samsung zitakazo pokea mfumo mpya na ratiba kamili

    Chombo kutoka Dubai.
  6. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sawa, ngoja nimuhoji muuzaji juu ya hiyo nyeusi.
  7. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna hiki pia, kwa maelezo yake kinaweza ku-function kama modem za zamani?. Msisitizo, napenda ambacho hata nikichomeka kwenye PC nitapata internet bila shida.
  8. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Safi. Je, hizi dongle huwa zinaleta setup exe ukichomeka kwenye PC?. Kwenye maelezo zinasema ni plug and play na mimi napenda iwe inaleta profile kama modem za zamani.
  9. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Me nahitaji cha muundo huo. Si mtumiaji mkubwa wa data. Bando la kupima 10GB kwa mwezi huwa nashindwa kuzimaliza na pia hata 4G bado si mtumiaji sana.
  10. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nauliza hiki kifaa kinafaa kupachika line ya halotel?. Kinauzwa TZS 37,000/- Aliexpress.
  11. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Meli huwa zinasogea kubadilisha positions/locations pale radar zinaponasa ujio wa mizinga, tofauti na bases zilizopo huko ambako huwa wanashambulia sana ni vigumu kuzihamisha. Ili uweze kupiga kitu chenye uwezo wa kufanya manuva ni lazima uwe karibu nacho au utumie mizinga yenye uwezo wa...
  12. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 ya Bongo Fleva Mwanza

    Naomba mp3 ya huo wimbo wa Moyo Wangu, naukubali sana tokea miaka fulani Radio free.
  13. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Michango ni mizuri kwenye makundi yetu ila hii tabia ya kuweka mkeka kwa kila jambo sijui kama ni sahihi

    Yaani michango ya rambirambi nayo watu wanaita Mikeka?. Nikiona hilo jina tu siwezi kuchangia.
Back
Top Bottom