Recent content by Seawhale

  1. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Nimechoma account nne kwenye Forex, rasmi sasa nasema basi!

    Sokoni ulikuwa unaingiaje. Kupoteza kote ulikuwa una-take note ni kwanini unapoteza?. Nahisi ukiamini kwenye nguvu ya mtaji uliokawa nao na siyo uhalisia wa namna soko lilivyo.
  2. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Mtwara Mjini leo imepiga mvua ya ghafla si haba.
  3. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ni kawaida yao, labda kama hutumii line ya Voda.
  4. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kama kawaida, Voda wameachia free internet kimyakimya. iNine9
  5. Seawhale

    JamiiForums Tanzania naombeni duka linalouza iphone og

    iPhone fake ndiyo ipoje, yaani 17 imetoka karibuni ila ukiikuta kwa Mudi matelephone ikiwa na box lake tayari ni fake?. Je, hawa wafanyabiashara wa bongo hawawezi kuleta stock mpya kabisa kutoka kwa apple wenyewe?.
  6. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    https://www.jamiiforums.com/threads/nimemzuia-mke-wangu-kupanda-lift-ya-jirani-lakini-amekaidi.1007630/
  7. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anapanda sana lifti za magari ya wapangaji wenzangu, mimi sina gari

    Thread ya namna hii si ya kwanza humu. Fuata miongozo.
  8. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Unatumia sabuni gani kuogea?

    Bilionea Troll JF umetisha sana, bafuni nina hii Dettol Active na Dettol Skincare. Nimeogea Imperial Leather mwaka mzima, ni sabuni ya kawaida sana.
  9. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Iran yashambulia mataifa matano ya Ghuba, yaifungia Hormuz baada ya mabomu ya Marekani

    Leo ndiyo nimejua kwanini magari mengi kwenye majiji yao nayaona kule tu, kumbe wanazalisha magari pia.
  10. Seawhale

    JamiiForums Tanzania YouTube kwisha Habari yake imepata mpinzani balaa

    Tutapumzika kukosa habari muhimu kutokana na kufungiwa channels muhimu kama RT kwa mashinikizo ya kisiasa.
  11. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Unatumia sabuni gani kuogea?

    Sabuni ni Dettol tu.
  12. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

    Matukio ya watu kujirusha.
  13. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukrani kaka nafuata huu ushauri.
  14. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nitaifikiria hii.
  15. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa kweli napenda sana modem hata isipokuwa na vya ziada. Kumbuka lengo ni kupachika line ya halotel tu. Vipi, hiyo modem yangu ya airtel inaweza kutoka lock?.
Back
Top Bottom