Sokoni ulikuwa unaingiaje. Kupoteza kote ulikuwa una-take note ni kwanini unapoteza?.
Nahisi ukiamini kwenye nguvu ya mtaji uliokawa nao na siyo uhalisia wa namna soko lilivyo.
iPhone fake ndiyo ipoje, yaani 17 imetoka karibuni ila ukiikuta kwa Mudi matelephone ikiwa na box lake tayari ni fake?.
Je, hawa wafanyabiashara wa bongo hawawezi kuleta stock mpya kabisa kutoka kwa apple wenyewe?.
Kwa kweli napenda sana modem hata isipokuwa na vya ziada. Kumbuka lengo ni kupachika line ya halotel tu.
Vipi, hiyo modem yangu ya airtel inaweza kutoka lock?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.