Recent content by Seawhale

  1. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Magari ya kutoka China yashika soko SA

    Hiyo Shark 6 ni PHEV.
  2. Seawhale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Demu amenikataa ghafla sielewi kwanini

    Let her go.
  3. Seawhale

    JamiiForums Tanzania China yaingia rasmi soko la memory chip (DDR5) na gaming GPU. Samsung, SKhynix, Nvidia, Micron na AMD tumbo joto

    Mchina amefanya watu wengi wa chini waweze kuishi maisha ya kisasa. Angalia sasa kampuni kubwa kama Apple na Samsung nao wanatoa simu za bei rahisi kushindana na wakina Tecno. Mpe Mchina heshima yake kwa kuamua kulifikia tabaka ambalo kampuni kubwa ziliwasahau. Kutoka Nokia ya 120K hadi Itel...
  4. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Fundi Umeme na Jamaa wa TANESCO nani yupo sahihi?

    mohamedidrisa789
  5. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Fundi Umeme na Jamaa wa TANESCO nani yupo sahihi?

    Changamoto kwa single phase itatokea endapo utawasha vifaa vyote ulivyovitaja kwa wakati mmoja.
  6. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mkurugenzi wa TTCL, Moremi Marwa, kwa juhudi kubwa za usambazaji wa fiber internet mitaani, yenye bei nafuu na kasi kubwa

    Kulipia Fiber kila mwezi ni lazima kama ilivyo kwa Router ya Voda?.
  7. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Tunaomba elimu juu ya kifaa kinachoitwa central stabilizer ya nyumba mzima. Je, ushawahi kufunga hiki kifaa, na ni brand ipi ni bora zaidi?.
  8. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Tazama hii nyumba tunaijenga Kiluvya Madukani May 2026

    Safi, next projects uje kwa hatua. Kuanzia soil test, ku-set msingi, mambo ya footings n.k especially kwenye maeneo nyeti kama hayo. Hii project ya sasa natazamia ni kwa namna gani utarusha karata kitaalamu kwenye hatua ya back fillings na mbinu za kuzuia maji yasi-absorb kwenye msingi.
  9. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Tazama hii nyumba tunaijenga Kiluvya Madukani May 2026

    Huo udongo ni wa aina gani. Je, points zako za ujenzi wa msingi imara ulizizingatia hapo?.
  10. Seawhale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jiandae sana kisaikolojia kwa lolote mkeo akianza kujihusisha na shughuli za siasa

    Jamaa kutoka Wizara ya Maji?.
  11. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Angalia BYD Dolphin Surf.
  12. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Nilimaanisha wabongo wenzetu ndiyo hudai vya mchina havidumu, huku wenye nchi kubwa (USA & Ulaya) wanamjua vizuri mchina.
  13. Seawhale

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Wanadai havidumu, wenye nchi zao huko wanaujua mziki wa Mchina.
Back
Top Bottom